Huyu ndiye Giriki, Dereva aliyetoka na basi Dar saa 12 asubuhi, akaingia Mbeya saa saba mchana

Huyu ndiye Giriki, Dereva aliyetoka na basi Dar saa 12 asubuhi, akaingia Mbeya saa saba mchana

View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.

Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumsweka sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
 
View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.

Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
MKUU samahani mimi nimeendesha basi pamoja na giriki huo muda hapana alifika mbeya mapema sana lakini muda napingana nao, huyo bwana namjua vyema yeye na Alyy Kilaweni marehemu tulikuwa tunajiuliza miyo yao niya model gani maana walikuwa na maajabu sana njiani. Nakuna mwingine Marehemu Selepion nae alikuwa moto sana hao 3 nilikiuwa nawaogopa kwakweli.
 
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Kwani Scandinavia na Embakassy Mbeya zilikuwa zinaingia saa ngapi?
 
MKUU samahani mimi nimeendesha basi pamoja na giriki huo muda hapana alifika mbeya mapema sana lakini muda napingana nao, huyo bwana namjua vyema yeye na Alyy Kilaweni marehemu tulikuwa tunajiuliza miyo yao niya model gani maana walikuwa na maajabu sana njiani. Nakuna mwingine Marehemu Selepion nae alikuwa moto sana hao 3 nilikiuwa nawaogopa kwakweli.
Hili lilikuwa jambo la siku moja tu na halikujirudia tena
 
Back
Top Bottom