Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unastahili vipimo vya covid vile vya Kichina!Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Kumbe ni huyu.
Yuko wapi sasa na je bado anafanya kazi ya udereva?
Dah. Peleka maninga yako hukoKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Siku hizi anaendesha tenki anaenda nje ya nchiyuko wapi huyu mwamba
Na siku mkipata ajali ucheke hivyo hivyoAlafu watu wanasema sauli zinakimbia nachekaga tu
Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.Alitembea average 120km/hr Ni possible!
DaaahhAlifungiwa leseni ya udereva kwa mda usiojulikana.
Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.
Ndio najua, unataka kusemaje? Kwamba hiyo 120 ni average?Unajua maana ya average?
Ndio najua, unataka kusemaje? Kwamba hiyo 120 ni average?
Basi la abiria linaweza kwenda 160 au hata 150 tu?Kuna mahali Kaenda 100, kwingine 160, kwingine 130, average is 120/Hr
Mzee tuache kidogoKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Hata V8 ikisafishiwa njia haiwezi kufika Mwanza Dodoma ndani ya masaa5Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumsweka sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au NzegaView attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
MKUU samahani mimi nimeendesha basi pamoja na giriki huo muda hapana alifika mbeya mapema sana lakini muda napingana nao, huyo bwana namjua vyema yeye na Alyy Kilaweni marehemu tulikuwa tunajiuliza miyo yao niya model gani maana walikuwa na maajabu sana njiani. Nakuna mwingine Marehemu Selepion nae alikuwa moto sana hao 3 nilikiuwa nawaogopa kwakweli.View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Kwani Scandinavia na Embakassy Mbeya zilikuwa zinaingia saa ngapi?Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Hili lilikuwa jambo la siku moja tu na halikujirudia tenaMKUU samahani mimi nimeendesha basi pamoja na giriki huo muda hapana alifika mbeya mapema sana lakini muda napingana nao, huyo bwana namjua vyema yeye na Alyy Kilaweni marehemu tulikuwa tunajiuliza miyo yao niya model gani maana walikuwa na maajabu sana njiani. Nakuna mwingine Marehemu Selepion nae alikuwa moto sana hao 3 nilikiuwa nawaogopa kwakweli.
Ntakubishia hadi asubuhi, siyo rahisi kabisa na haiwezekaniKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze