Huyu ndiye Giriki, Dereva aliyetoka na basi Dar saa 12 asubuhi, akaingia Mbeya saa saba mchana

Huyu ndiye Giriki, Dereva aliyetoka na basi Dar saa 12 asubuhi, akaingia Mbeya saa saba mchana

Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Mwaka gani? Mabasi ya Dar-Mwanza baada ya kukamilika barabara ya Lami Yaliyokuwa yanakimbia yalikuwa Ally's sport, Mombasa Raha, Mohammed, Colourstar, Greenstar baadaye Kisbo
 
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Huu ni uongo mwingne aisee basi 150 haipo zamani mengi ilikuwa ni 140 jamaa katembea 140 kutoka dar mpaka mwanza bila ya kusimama haiwezekani
 
View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.

Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Mnaanza kutufungia wapi hizi kamba?
20211215_135159.jpg
 
Huyo Giriki si aliwahi kusababishwa ajali iliyoua sana mpakani mwa Ruvuma na Njombe?
Ajali ya Shabibu kama sikosei.Mpaka Leo eneo lile wameweka kumbukumbu ya ajali.
 
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Alikuwa jamaa fulani mweupe hivi, kipindi kile 2010-2012 kufika Mwanza saa 1 kamili jioni ilikuwa kawaida sana au kufika Dar saa 1;30 jioni jamaa alikuwa anaendesha hadi anazipita baadhi ya mabasi yanayotoka Kahama, kuna siku nilipanda siti ya mbele nilijuta kwa ule Mwendo
 
Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
OK. Naamini. Abood ni wachawi sana, bila gari kutambikiwa ikifika Morogoro hama safari
 
Back
Top Bottom