Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kwa sababu gani?Bora ungenyamaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu gani?Bora ungenyamaza
Mwaka gani? Mabasi ya Dar-Mwanza baada ya kukamilika barabara ya Lami Yaliyokuwa yanakimbia yalikuwa Ally's sport, Mombasa Raha, Mohammed, Colourstar, Greenstar baadaye KisboKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Huu ni uongo mwingne aisee basi 150 haipo zamani mengi ilikuwa ni 140 jamaa katembea 140 kutoka dar mpaka mwanza bila ya kusimama haiwezekaniHii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Mnaanza kutufungia wapi hizi kamba?View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Anasemea Morogoro ya Nzega, Nzega kuna mtaa unaitwa MorogoroNtakubishia hadi asubuhi, siyo rahisi kabisa na haiwezekani
Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Alikuwa jamaa fulani mweupe hivi, kipindi kile 2010-2012 kufika Mwanza saa 1 kamili jioni ilikuwa kawaida sana au kufika Dar saa 1;30 jioni jamaa alikuwa anaendesha hadi anazipita baadhi ya mabasi yanayotoka Kahama, kuna siku nilipanda siti ya mbele nilijuta kwa ule MwendoHii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Alitembea average 120km/hr Ni possible!
Mmh 😂😂Anasemea Morogoro ya Nzega, Nzega kuna mtaa unaitwa Morogoro
Kwani muda wa kawaida wa Embakassy na Scandinavia kuingia Mbeya ilikuwa saa ngapi? Maana hayo ndio yalikuwa makobeMnaanza kutufungia wapi hizi kamba?View attachment 2062016
Siwezi kuamini hili uliloandika hata Nchi yetu iuzweKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
OK. Naamini. Abood ni wachawi sana, bila gari kutambikiwa ikifika Morogoro hama safariKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Daaaah,sasaaaa,Morogoro alipita saa ngapi?
Nasikia anaendesha Mombasa hadi NairobiKumbe ni huyu.
Yuko wapi sasa na je bado anafanya kazi ya udereva?
Acha utotoKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
We huoni hilo jina lake tu lilivyo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madreva wa siku hizi wanapapasa tu gari hawaendeshi huyo giriki ni habari nyingine
Keupe kekundu aiseeKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze