Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,175
- 1,934
Hii sasa chai[emoji85][emoji38][emoji38][emoji38]Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa chai[emoji85][emoji38][emoji38][emoji38]Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Salute kwako bujibuji huyu mwamba siwezi msahau sababu Kuna siku tuliingia saa 8, nilitaka kuacha shule.View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Acha uongo, muda ni wa ndege huo.Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
We msenge tutakupiga, ondoka humu haraka😅Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Giriki akiondoka stendi na pinguHii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumradha sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.
Hapana lilijirudia, tuliingia saa 8. Nakwambia nilitaka kuacha shuleHili lilikuwa jambo la siku moja tu na halikujirudia tena
[emoji23][emoji23][emoji23]Saa 12 na saa 7 mchana
Hii sipandi
Sure, huyu ndugu yangu ananiambia 120km/hr ni average, kwamba kuna muda basi litatembea hadi 160km/hr, nimeshangaa. Sikuwahi imagine kama basi la abiria linaweza kukimbia hata 140, let alone 160km/hr.Na kuna utofauti unapotoka Dar kwenda Mbeya na kinyume chake...
Kawaida toka Dar kwenda Mbeya ni kama unapanda toka ukanda wa chinj wa nchi kwenda wa juu...
Kuna effect ya kupanda panda kwa sana milima...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ya kweli haya humo ndani kulikuwa na abiria au majini tu..[emoji23]
Saa 12 na saa 7 mchana
Hii sipandi
Updates znasema ni dereva wa lori la mafutaKumbe ni huyu.
Yuko wapi sasa na je bado anafanya kazi ya udereva?
Sasa kuacha shule na kasi ya dereva vimekujaje, au umeamua kutuchanganyia madesa?Salute kwako bujibuji huyu mwamba siwezi msahau sababu Kuna siku tuliingia saa 8, nilitaka kuacha shule.
Mwanza to Morogoro ni Kilomita 948 ukiwanya kwa 4 ina maana jamaa alitembea km 237 kwa lisaa huu uongo ni hatari sanaKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Zamani kulikuwa na magari machache barabarani, mabasi hayakuwa na speed governor (Ving'amuzi), polisi walikuwa wachache barabarani, vibao vya 50 havikuwa vingi kama leo, matuta(speed humps/pumps) yalikuwa maeneo machacheMadreva wa siku hizi wanapapasa tu gari hawaendeshi huyo giriki ni habari nyingine
Bora ungenyamazaSasa kuacha shule na kasi ya dereva vimekujaje, au umeamua kutuchanganyia madesa?