Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
-
- #61
Duu!!!! Kitambo, bro wako Alikuwa anarap???Hapana Mkuu,
Kuna Braza wangu alikuaga akirekodi hizi nyimbo kwenye Audio cassette pale zinapopigwa redioni kisha anazisikiliza enzi hizo,
Sasa sababu alikua mkubwa basi ilibidi nami nizisikilize tu maana redio ndio hiyo hiyo moja, akiweka yeye hakuna mtu kutoa.
Alinifundisha hata ku-scratch kwa kutumia normal radio cassette,
Yaani kile kidude cha "Pause" ndio kilikua kinasugua inafanania kama na CD ilikua scratched,
Nikajikuta napenda tu nyimbo za kina aina hii kina Saigon, Afro reign, Underground Souls, W10N, 2proud, hadi zile Saleh Jabir aki rap kwenye beats za nje nilikuaga nazo
Kama hujafaham,Yap, wanawake wengi huwa hawapend vitu vya akili, wao taarab vigodoro na diamond, Sasa kumkuta mwanamke anamjua Hashim nadhani upo peke ako
Mtu mkijua nyie watano sita wa mtaani kwenu tayari mnamuona star na maarufu, sio kweli. Ungeeleza OmmyDimpoz au Chid nani angeshangaa?Umezaliwa mwaka gani
Nimekukubali umehoji poa sanaAnaweza kua ni Msanii Mzuri,
Ila huo ubora wa Hip hop Africa umeshindanisha na nani??
Kwangu huyu hata Ukiimshindanisha na Imam Abbas wa Underground Souls basi Dogo anaweza kushindwa
Hapana,Duu!!!! Kitambo, bro wako Alikuwa anarap???
Bado unafuatilia hizo mamboHapana,
Alikua akipendaga tu hizi mambo, akanilazimisha hadi nami nipende sababu akiweka cassette zake ni muda wote mpaka nami nikazizoea
Sawa nimekosea kusema hajui,ila duke wewe nakufahamu kitambo sana kweli umeona Hashim ni mwana hiphop bora Africa nzima,au ulikula vyombo kabla ya kupost hii! Mimi huwa naona Hashim ni msanii anayejijua yeye mwenyewe. Na kujijua kwake kukafanya akimbie game baada ya kuiona mbele yake mapema.Usiseme hajui hapo unakosea mzee
Hahaa!!!!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa nimekosea kusema hajui,ila duke wewe nakufahamu kitambo sana kweli umeona Hashim ni mwana hiphop bora Africa nzima,au ulikula vyombo kabla ya kupost hii! Mimi huwa naona Hashim ni msanii anayejijua yeye mwenyewe. Na kujijua kwake kukafanya akimbie game baada ya kuiona mbele yake mapema.
ID ya kike ila mwandiko wa kiume...Katika misingi mitano ya Hip hop, yaani Dj, Mc, Freestyle, Breaking dance & Graphit, Huyu jamaa alikua ni mwamba katika angle zipi zaidi?
Anafiti zote 5 kuliko yoyote Africa kiasi cha wewe kumuita kua ye ni Msanii bora wa Hip hop Africa?
Roho saba kawa luteniWadau vipi Roho saba?
Afande atabaki kua Sele ila mfalme ni Hasheem dogo....Si kweli au unataka ningemuweka afande sele
TunasongaHashim is overrated..alikua mkali ndio lakin sio kwa kiasi hiki mnachompa sifa, ukiacha Shadow on the dark destiny sioni ngoma yake nyingine kali
Huyo ni singaAfande atabaki kua Sele ila mfalme ni Hasheem dogo....
Sikumbuki ni line ya nani ilikua inasond hivyo
SongaHuyo ni singa