Huyu ndiye Hashim Dogo, Msanii bora wa Hip Hop Afrika

Huyu ndiye Hashim Dogo, Msanii bora wa Hip Hop Afrika

Hapana Mkuu,
Kuna Braza wangu alikuaga akirekodi hizi nyimbo kwenye Audio cassette pale zinapopigwa redioni kisha anazisikiliza enzi hizo,
Sasa sababu alikua mkubwa basi ilibidi nami nizisikilize tu maana redio ndio hiyo hiyo moja, akiweka yeye hakuna mtu kutoa.
Alinifundisha hata ku-scratch kwa kutumia normal radio cassette,
Yaani kile kidude cha "Pause" ndio kilikua kinasugua inafanania kama na CD ilikua scratched,
Nikajikuta napenda tu nyimbo za kina aina hii kina Saigon, Afro reign, Underground Souls, W10N, 2proud, hadi zile Saleh Jabir aki rap kwenye beats za nje nilikuaga nazo
Heshima yako mkuu mimi mwenyewe nafurahi sana kuona mtu kama wewe upo humu na unabishana kuhusu hip hop kwa facts kabisa
 
Anaweza kua ni Msanii Mzuri,
Ila huo ubora wa Hip hop Africa umeshindanisha na nani??

Kwangu huyu hata Ukiimshindanisha na Imam Abbas wa Underground Souls basi Dogo anaweza kushindwa
Kuna sababu wanaojua kurap wanampa heshima yake dogo kabla ya imam. Heshima yako kwa kuwaacknowledge underground souls, si wengi hawakumbuka.
 
Kuna sababu wanaojua kurap wanampa heshima yake dogo kabla ya imam. Heshima yako kwa kuwaacknowledge underground souls, si wengi hawakumbuka.
Halafu huwezi amini huyo ni mwanamke lakini anawajua underground souls na Hashim
 
Heshima yako mkuu mimi mwenyewe nafurahi sana kuona mtu kama wewe upo humu na unabishana kuhusu hip hop kwa facts kabisa
Halafu huwezi amini huyo ni
mwanamke lakini anawajua underground souls
 
Kama hujafaham,
Dogo Mwana Kharam,
Kalam inamwaga damu,
Nakuacha Mweupe kama Mkorogo,
Chata ka Wagogo,
Wabongo acheni Nyodo,
Wote mnakula Hongo,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaaaaa!!!!!! Nimekukubali dada angu
 
Back
Top Bottom