Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue sio kuhamia Kenya..Hamia kenya bac kama vip, ukakutane na mngik wabongo bwana
Hamia kenya bac kama vip, ukakutane na mngik wabongo bwana
Umenena vyema. Hamna mtu mpenda sifa kama mtu aliyeokota hela ata mwambia kila mtu ana hela wakati hela anazo. Lakini ukizaliwa kwenye hela wala huna haja ya kusema unazo kwani zinaonekana zenyeweHuyu jamaa amekulia ikulu, amemuona babake akiongoza, amekulia maisha ya kifahari, amekuzwa na amemuona na kujifunza uongozi pia kwa Moi ana exposure ya kutosha kwenye mambo ya uongozi unategemea aongoze kama mtu aliekulia kijijini ambaye muda wote anataka aonekane ni Raisi wakati tayari ni raisi.
He can say much but Kenyatta at all is not a servant, he is a master bearing tribal/ethical flag."We are not masters but rather
we are servant of people"
Amezaliwa ikulu na wala si limbukeni.Mkuu BAK Uhuru Kenyatta is very bright on the aspect of leadership..
Hakuwa Rais wa Kenya kwa kubahatisha..
Hafanani hata chembe na Pogba..
Ongelea kwenye koo! "Mimi ndiye Rais na amiri jeshi mkuu! " "Ninataka muwahukumu mafisadi haraka niwape pesa" Kenyata na magu ni sawa na mbingu na jahanamuAmezaliwa ikulu na wala si limbukeni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nigawie hilo jamboUrais ni jambo langu binafsi. Kwani nilikwenda na nani kuchukua fomu?[emoji202] [emoji202] [emoji202]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huu ndio uhalisia, malimbukeni wengi hutoka katika familia duni...mara chache sana ukute mtu aliekulia kwenye pesa ni limbukeni!Umenena vyema. Hamna mtu mpenda sifa kama mtu aliyeokota hela ata mwambia kila mtu ana hela wakati hela anazo. Lakini ukizaliwa kwenye hela wala huna haja ya kusema unazo kwani zinaonekana zenyewe