Huyu ndiye Lionel Andres Messi (Best Player in History)

Huyu ndiye Lionel Andres Messi (Best Player in History)

To me hakuna mchawi wa mpira kama cr7!

Messi anabebwa na barca...alafu ronaldo amecheza ligi nyingi tofauti na messi! Messi yuko barca tuuu!! Cr7 kaanzia huko ureno then akaenda man united kama kawaida akakimbiza ligi ngumu kabisa ya uingereza!!

Baada ya hapo akaamia laliga na kama kawaida anamkosesha usingizi hata huyo messi!!

Mpira ukija left anakumaliza ukija right hakuachi...njoo kwa messi sasa...ukitaka umuweze mlazimishe atumie mguu wa kulia uone atavyoyumba!!

Messi baada ya kufungwa na chile akasema anaiacha timu ya taifa huu si ujinga?? Yaani captain unaogopa challenge za kufungwa??

Haya njoo kwa ronaldo! Kwenye ligi ya mataifa ya ulaya hamna aliyeipa ureno nafasi ya kuchukua kombe!! Ila chini ya uongozi wa ronaldo ureno ikabeba kombe!!

Jamaa alikua anawamotivate wachezaji wenzake mpaka unashangaa...huyu ndio captain...sio unafungwa unaacha kuchezea timu ya taifa!!


Cr7 sio wa dunia hii...

Msimu huu hana mpinzani kwenye baloon d'or!!

pele, maradona, ferguson,de lima. figo na wengine wengi wanaojua mpira wanasema Messi ni Bora kuwahi kutokea kuliko ata Ronaldo na imefikia Mahala wakasema ni Bora Kuliko ata wao Sasa wewe ni Mwanamke Gani unasema CR7 ni bora Kuliko MAGICAL MESSI
 
To me hakuna mchawi wa mpira kama cr7!

Messi anabebwa na barca...alafu ronaldo amecheza ligi nyingi tofauti na messi! Messi yuko barca tuuu!! Cr7 kaanzia huko ureno then akaenda man united kama kawaida akakimbiza ligi ngumu kabisa ya uingereza!!

Baada ya hapo akaamia laliga na kama kawaida anamkosesha usingizi hata huyo messi!!

Mpira ukija left anakumaliza ukija right hakuachi...njoo kwa messi sasa...ukitaka umuweze mlazimishe atumie mguu wa kulia uone atavyoyumba!!

Messi baada ya kufungwa na chile akasema anaiacha timu ya taifa huu si ujinga?? Yaani captain unaogopa challenge za kufungwa??

Haya njoo kwa ronaldo! Kwenye ligi ya mataifa ya ulaya hamna aliyeipa ureno nafasi ya kuchukua kombe!! Ila chini ya uongozi wa ronaldo ureno ikabeba kombe!!

Jamaa alikua anawamotivate wachezaji wenzake mpaka unashangaa...huyu ndio captain...sio unafungwa unaacha kuchezea timu ya taifa!!


Cr7 sio wa dunia hii...

Msimu huu hana mpinzani kwenye baloon d'or!!
fungua uzi wako
hapa ni messi tu
 
pele, maradona, ferguson,de lima. figo na wengine wengi wanaojua mpira wanasema Messi ni Bora kuwahi kutokea kuliko ata Ronaldo na imefikia Mahala wakasema ni Bora Kuliko ata wao Sasa wewe ni Mwanamke Gani unasema CR7 ni bora Kuliko MAGICAL MESSI
Umedanganya mkuu!! Hizi siasa za uongo waachie akina magu...kinana and the alike we huziwezi!! Ferguson???? Heheheeee jinga kweli wewe!!
 
780d415fa7b1710c17c21ca1d27d2553.jpg


Mambo ya ronaldo hayo!!
 
Samahani Dada Nenda Ka google au youtube umsikie Fergie
Wala sikulaumu mkuu! Najua una stress nyingi sana ikiwemo ya real madrid kubeba ubingwa wa laliga na kubeba mapaka uefa mara mbili mfululizo!!

Messi mwenyewe kamkubali ronaldo sasa wewe sijui unabisha nn??

1a632b146ab78202a830d1121fef830f.jpg
 
Mi nachojua nje ya barca huyo ni nesi tu na ndio maana hataki kung'atuka huko kwa kuwa anajua watu wataufahamu UK well wake kuwa anabebwa na timu na si kama Ronaldo,popote yeye ni kambi tu
 
Mi nachojua nje ya barca huyo ni nesi tu na ndio maana hataki kung'atuka huko kwa kuwa anajua watu wataufahamu UK well wake kuwa anabebwa na timu na si kama Ronaldo,popote yeye ni kambi tu
19029326_505034299832096_828086807208523702_n.jpeg
nje ya Barca
 
Back
Top Bottom