Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Vinyesi vitakuua ujue[emoji39][emoji39][emoji39][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinyesi vitakuua ujue[emoji39][emoji39][emoji39][emoji24][emoji24][emoji24]
Sula[emoji41]Sasa tunajadili nn Mkuu
🏃🏃🏃🏃Takuripoti
😂😂😂😂😂Ana chura?
Uje na id yako@demi miss Kush nae yupo wapi.
Kwakua una interest naye ndio maana unamuona hivo. But there's a bunch of smart, beautiful,and kind woman in this Forum
noted!! Well said.... i couldn't agree moreNini maana ya Ustaarabu? Coz kila jamii,kila taifa na kila familia hua zina ustaarabu wake na kila mmoja huona ustaarabu wake ni bora zaidi kuliko ustaarabu wa mwingine.
Behaviorist ondoa hii kitu tafadhali. Unakwaza watuMama D hii style ni tamu sana mchuchu akiwa na chura!
View attachment 1688104
Nimeshafuta kauli Mama D!Behaviorist ondoa hii kitu tafadhali. Unakwaza watu
Asante sanaNimeshafuta kauli Mama D!
Mention them.Kwakua una interest naye ndio maana unamuona hivo. But there's a bunch of smart, beautiful,and kind woman in this Forum
Kinachekesha na kuhuzunisha. Ana viwanda vya threads huyu balaa. Hadhafu ni itoondoo.Unacheka na kulia at the same time..why?
Sina ubavu wa kupotea kizembe . hata hivyo nilikuwa nasubiri wito😊
Nafurahi kuona upo ukiwa na afya tele.Sina ubavu wa kupotea kizembe . hata hivyo nilikuwa nasubiri wito😊
Wewe Fala unataka umtoe out mke wangu wa ndoa!Kulikuwaga na mdada mmoja kwa ID ya emmyta ( kwa sasa hayupo kabisa haonekani na hata id yake haipo kabisa tena humu jf) nadiriki kusema alikuwa mdada aliyekuwaga na busara ya hali ya juu sana kwenye hii platform.
Hakuwahi kuwa na hasira kipindi chake chote humu na hakuwahi kumjibu mtu utumbo katika kila comment aliyoandikaga, alikuwa mpole sana na nakumbuka siku moja kuna mtu alitoa comment ya ovyo kwa huyu dada niliumia na nilimfata PM huyo mtu nikamtusi kinoma na kumuonya asirudie tena kutaka kumkorofisha huyo dada
Huyu emmyta inavoonesha anaweza kuishi na kila mtu katika jamii hii na kama ana familia basi familia yake itakuwa anawalea katika maadili mazuri.
Hivyo basi yeyote anayejua huyu dada alipo ningependa anijulishe dhumuni langu nataka nimtoe out kidogo hata sehemu tupate chakula cha mchana, najua alikuwaga na marafiki humu na kuna ambao either wanajua alipo naomba afikishiwe ujumbe
ASANTENI
Muulize Mshana JrDemis nae haonekani, au ndio kashapata ubatizo mpya 😂