ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Nimecheka sana eti katushika nyota[emoji33]Huyu jamaa ametushika nyota Waafrika wengi sana
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado hainiingiagi akilini niliwezaje kudanganyika namna hii na kuamini kitu kisicho cha kweli, hadi kesho nikimwaza Yesu ananijia katika sura ya huyu jamaa, wazungu wametuharibu sana akili pumbavu zao.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kuna kipnd kwel nilidanganyka ila nilistuka mapema lakn wazaz walikua wananiwekea ngumu na kusema "uyu mtoto pumbavu sana" na ukishangaa na makofi unakula
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Uyu bwege kachezea sana akil za waafrika
Ahaaaaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] Hakuna ajuaye Sura ya YESU. Zinduka.Kwani huyo siyo yesu?
Bado hainiingiagi akilini niliwezaje kudanganyika namna hii na kuamini kitu kisicho cha kweli, hadi kesho nikimwaza Yesu ananijia katika sura ya huyu jamaa, wazungu wametuharibu sana akili pumbavu zao.
Niupotevu wa hali ya juu naona shetani alipitia apo ukishangaa watakupigisha na picha ya yule kahaba wanayedhani ni Mariam mala Yoseph. Upumbavu wa kiwango cha PHD.Pia maisha yake ya ndoa aliacha mke (alimtariki mke wake). Aisee huyu jamaa decon .
Hivi kwanini wakristo hasa RC hutumia picha take kama utambulisho Wa Yesu? Pundits Wa maswala ya dini naomba majibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku moja nilikuta picha Kwa rafiki angu nikatania naona umemuweka huyu choko hapa jamaa alinifukuza na kuniita majina yote