Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Naona picha ya mwisho yesu kavaa jinsi anapunga upepo kibarazani
 
Huu Uzi alishauleta Da'Vinci humu tena alielezea vizuri huyo Deacon anafanana na nani
 
Mambo mengine yanaeleweka tu hata kwa common sense sasa ñashangaa watu wakiwa hawataki kukubali kuwa lile movie ni igizo kama maigizo mengine

Nimeshtuka kidogo kuona hiyo kampuni iliyotengeneza muvi hiyo kwakuwa kuna stori ndefu kuhusu jina lake (jina la hiyo kampuni) na chimbuko la hao wanaomwabudu huyo jamaa

Mwandishi naomba uje umchambue pia na yule aliyeigiza kama maria-mama wa yesu bila kusahau na yule mtoto
 
Uyu bwege kachezea sana akil za waafrika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
MNAPANIKI BURE!

Mi sioni sababu inayowafanya mpaniki.... maigizo yapo hakuna anaeibisha.

HOJA HAPA , JE ALICHOIGIZA AMEPOTOSHA AU HAJAPOTOSHA KULINGANA NA KITABU CHA LUKA??

Sasa kama hakupotosha ,,povu la nini?..

Hata Mimi sikatai wakati mdogo katika maisha yangu niliamini kabisa huyo ndo YESU mwenyewe nikijumlisha na maandiko matakatifu toka katika kitabu cha luka,,, Binafsi ilinisaidia kuwa karibu na Mungu.............ile hofu ya Mungu niliyokuwa nayo mapema ilinisaidia kutoshiriki matendo maovu au dhambi hata kama nikifanya ilikuwepo hali kujutia...na unyenyekevu huo Leo naona matunda yake hata baada ya kugundua sio YESU.

Wengi mtakuwa mnamjua ndege tai anapomfundisha kinda wake kuruka. Ni kama anamtesa lakini anakuwa nia njema huo ni mfano mzuri wa maisha ya Mungu na Mwanadamu.

WAKATI mwingine ni njia anazotumia MUNGU katika harakati za kumrudisha mwanadam kwake.....MUNGU anakuanzia mbali anapotaka kukusaidia.......imani yako inapokomaa hapo anakuacha ujitegemee na hapo ndo unagundua Huyo kwenye filamu sio YESU lakini pia unagundua MAKUSUDI ya Mungu kwako.


Sasa hatua ya mwanzo kabisa tunapaswa kuamini kwa sababu kila neno lenye pumzi ya MUNGU lafaa kwa mafundisho ....Hivyo kadri tunavyokua ndivyo MUNGU anavyotuimarisha katika imani zetu.

Sasa kwenye hiyo filamu yamehubiriwa mambo mengi yanayotuasa,,

Umetajwa UPENDO, UCHOYO, UZINZI, ULAFI , CHUKI , TAMAA n.k

lakini bado miujiza mingi imefanyika kuthibitisha nguvu za Mungu.......yote hayo hatujifunzi sisi tunakomaa kwamba aliyeigiza sio Yesu sidhani kama inasaidia.

Wale wahenga zamani mtakumbuka tulikuwa tunaonyeshwa sinema za maigizo kuhusu ugonjwa wa ukimwi...unashuhudia mwanzo mwisho mpaka Mtu anavyokonda na kufa.
Yote yalikuwa ni maigizo lakini yanaleta hisia mpaka unabadili mwenendo ,, ..kama una ile hofu inakusaidia kukuokoa hata kama ni igizo.

Kwaio mi nafikiri tunapaswa kuamini kwanza yaliyomo kwenye hiyo filamu.

Hoja ya aliyeigiza sio Yesu ni nyepesi mno na haisaidii.
 
Umetoa Maelezo marefu lakini yenye kufikirisha lakini hoja apa niupotoshwaji mkubwa wa wahubiri asa Wakristo kumtumaini nawakati mwingine kuchukulia picha zake kuziabudu nk. Kwanini hatukuambiwa kuwa yule ni muigizaji aliyesoma kitabu cha Luka? Kwanini tulifichwa ukweli huu asa Mapadri/Wachungaji!
Naumia sana kwakudanganywa.Wakatoriki ni mabingwa wa kukwepa kuhubiri ndo maana waliamua kutimkia kwenye sinema.
Wale wote waliobariki filamu hii nakushindwa kuitolea Maelezo wote niwanafiki na dawa ya wanafiki mnaijua.
Nataka Mapadri/Wachungaji nje mtuombe radhi kwakutulisha matango pori.
Uyu muhuni aliyecheza hii filamu alikaa kimia uku akijua fika kuwa yeye sio YESU.
Namwamini sana Mungu ataendelea kujitukuza na kujifunua ili watu wote wamjue yeye.

Ndugu hoja zako niza kidini sio za Kiroho lazima tuseme ukweli kwamba hakuna mwanadamu anayetambua sura ya YESU zaidi wale waiokuwepo maana ata wachoraji wawakati ule naona hawakufunuliwa ikizingatiwa camera hazikuwepo.
Uyu nimsanii kama kina Wema, Kanumba nk. Kwani uyu kahaba (Wema sepetu) akiigizaa kama mlokole nikweli atakua kaokoka?

Acheni kutetea ujinga nakusudia kufungua Shauri Mahakamani kupinga mikanda hii kuoneshwa mpaka watakapoamua kuwaeleza watazamaji kuwa yule sio YESU bali ni comedian.
 
Uyu bwege kachezea sana akil za waafrika
Kweli kabisa. Kuna mfia dini mmoja aliweka kwenye mitandao eti kanisa limeungua lote ikabaki picha ya Yesu. Kumbe ni huyu jamaa ambaye ukimchunguza unawezamkuta hata ni shoga
 
Kwa hamjui kuwa hiyo ni filamu tu.
Kwamba wahusika wote ni wa kuigiza.
Kwamba hakuna aliyempiga picha Yesu halisi.
Kwamba hakuna Mkristo anaye abudu Sanamu au picha.
 
Sasa nataka kufafanua yule kahaba anayefananishwa na Bikira Mariam aliyemzaa yesu wengi wetu mnatembea naye kwenye magari ndo maana mnapata ajari, wengine mmemjengea vihekalu vidogo nyumbani kwenu ndomaana migogoro haiishi,wengine mmnamwomba kanisani ndomaana familia zenu zimeparaganyika. Subirini naandaa dawa yenu. Hatuwezi kuwaacha mkaarifu na kumfananisha Mungu na miungu.
 
Kwa hamjui kuwa hiyo ni filamu tu.
Kwamba wahusika wote ni wa kuigiza.
Kwamba hakuna aliyempiga picha Yesu halisi.
Kwamba hakuna Mkristo anaye abudu Sanamu au picha.
Hapo ndipo utajua tofauti ya kusoma na kuelimika.
Kuna watu huwa wanajisifu sana kuwa wamesoma na kuwadharau wengine lakini wanaabudu picha
 
Kwa hamjui kuwa hiyo ni filamu tu.
Kwamba wahusika wote ni wa kuigiza.
Kwamba hakuna aliyempiga picha Yesu halisi.
Kwamba hakuna Mkristo anaye abudu Sanamu au picha.
Kama hakuna Wakristo wanaohabudu picha mbona ziko makanisani? Mbona wanazo majumbani kwenye magari nk.
Wakatoriki wanaongoza kwa kuhabudu sanamu.
 
Mkuu sidhani kama wachungaji au mapadri wanapohubuiri na kumtaja Yesu wanamaanisha huyu jamaa aliyeigiza...

Yanibhauna sababu ya kutaharuki
 
Tujikite kwenye mada jamani.........Yesu halisi alikuwepo na huyu ni muigizaji tu.
 
Kama hakuna Wakristo wanaohabudu picha mbona ziko makanisani? Mbona wanazo majumbani kwenye magari nk.
Wakatoriki wanaongoza kwa kuhabudu sanamu.
Anaye abudu sanamu sio Mkristo,
Kuna makanisa mengi ambayo siyo ya Kikristo.
Hujawahi liona
The Satanic Church,
The Mormon Church
The Rastafalian Church.
Sasa hebu wewe niambie hapa, hilo kanisa ulilo ona wanaabudu sanamu linaitwaje.
Soma kwenye bango lake utaona walipoandika.
Kanisa la Kristo haliabudu sanamu.
Wakristo hawaabudu sanamu hata siku moja.
Usichanganye kati ya kanisa la Kristo na Makanisa mengine.

Ushanielewa jamaa yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…