Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Tafsiri yako ni potofu na haina kweli,kama mtu anafanya unayosema ni kwa ujinga wake
 
Kama dini zenyewe tunarithi, tunawezaje kupinga kuwa huyo sio Yesu bali ni mwigizaji wakati tunamuona yeye zaidi kwenye picha, video na masanamu!? Nafikiri kuna haja ya jamii kuelimishwa juu ya sanaa ya uigizaji na waigizaji.
 
Si yeye aliyeigiza pekee,wapo na wengine kama MEL GIBSON katika passion of christ na wengine katika matoleo yao.
 
Ukweli hawa binadamu hawaabudiwi kama Yesu halisi,huo ni mfano mdogo sana wa kujenga picha (maigizo)katika kufundisha biblia.
 
3b1ba64f83b33bcd059b6f5340fc6655.jpg





Anaitwa Brian Deacon
Amezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford
Uingereza, Baba Yake Anaitwa Robert Thomas
Deacon Ambae Kitaalamu Alikuwa Fundi
Magari, Mama Yake Anaitwa Eileen Mary
Ambaye Alikuwa Nesi, Brian Deacon Ni Mtoto
Wa 2 Kuzaliwa Ktk Familia Yao, Brian Deacon
Alioa Mke Wa Kwanza Mwaka 1977 Aitwae
Rula Lenska Ambae Amezaa Nae Mtoto
Aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982
Mkewe Alimtuhumu Mumewe Kutembea Nje
Ya Ndoa Na Ndoa Yao Kuvunjika, Alikaa
Miaka 16 Na Hawara Yake Cecy Redknap
Mpenzi Wake Wa Muda Mrefu, Mwaka 1998
Alioa Mke Mwingine Aitwaye Natalie Block
Mpaka Leo Wako Pamoja, Msanii Brian
Deacon Alipata Tenda Ya Kuigiza Ktk Filamu
Kama YESU, Filamu Alizowahi Kushiriki Ni A -
Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather
Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na
Nk,
Wakristo Wengi Sura Ya Huyu Msanii
Wanaisujudia Ktk Maombi Yao, Ktk
Rozali,BIBLIA,Makanisani Wameweka Sura
Yake, Ndugu Zangu Zindukeni Huko Sipo, Vipi
Msanii Wa Filamu Mumsujudie Ktk Makanisa?
Jamani Enyi Watu Jueni Ukweli huu Mbona Uko wazi kama Jua la Saa 6 Mchana!!!

aedf1e3f7b86458fc8b126e1297442e5.jpg
 
We nawe hebu kabla hujapost ujuha wako uwe unauliza, unasoma zaid au unauliza na sio kuja kishabiki...
 
Uwezo wako wakufikir ni mdogo sana.
Kubishana na mtu km ww usiejua unachokiandika ni kupoteza muda.
 
ishadiliwa kama mara elfu moja hii ishu humu...acha kurudia mada mzagao bana kabla hamjaanza kupost topics ebu ingieni google kwanza msearch key words za topic yko ili ujiridhishe kama ilishajadiliwa hapa jf au la au hata humu humu jf ukisearch kweny iyo search bar yao utaletewa topic zenye neno brian deacon km mia hivi zote zinaongelea mambo yanayofanana kumuhusu...haya kama unataka kujua wadau walicomment nini tafuta hizo uzi humu.ukicomment uko utajiupdate hapa na mjadala unaweza kuendelea,sio lazima ulete uzi mpya km huna idea ya mada mpya bora ubaki kuwa mchangiaji tu.
Shukran!
 
3b1ba64f83b33bcd059b6f5340fc6655.jpg





Anaitwa Brian Deacon
Amezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford
Uingereza, Baba Yake Anaitwa Robert Thomas
Deacon Ambae Kitaalamu Alikuwa Fundi
Magari, Mama Yake Anaitwa Eileen Mary
Ambaye Alikuwa Nesi, Brian Deacon Ni Mtoto
Wa 2 Kuzaliwa Ktk Familia Yao, Brian Deacon
Alioa Mke Wa Kwanza Mwaka 1977 Aitwae
Rula Lenska Ambae Amezaa Nae Mtoto
Aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982
Mkewe Alimtuhumu Mumewe Kutembea Nje
Ya Ndoa Na Ndoa Yao Kuvunjika, Alikaa
Miaka 16 Na Hawara Yake Cecy Redknap
Mpenzi Wake Wa Muda Mrefu, Mwaka 1998
Alioa Mke Mwingine Aitwaye Natalie Block
Mpaka Leo Wako Pamoja, Msanii Brian
Deacon Alipata Tenda Ya Kuigiza Ktk Filamu
Kama YESU, Filamu Alizowahi Kushiriki Ni A -
Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather
Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na
Nk,
Wakristo Wengi Sura Ya Huyu Msanii
Wanaisujudia Ktk Maombi Yao, Ktk
Rozali,BIBLIA,Makanisani Wameweka Sura
Yake, Ndugu Zangu Zindukeni Huko Sipo, Vipi
Msanii Wa Filamu Mumsujudie Ktk Makanisa?
Jamani Enyi Watu Jueni Ukweli huu Mbona Uko wazi kama Jua la Saa 6 Mchana!!!

53098e14a31af576d11d701d14d3030d.jpg


465a973e9d0a0dd4ce86b69b0349fbba.jpg


05a3dfe4c6830812c4ee4d3099d2e20b.jpg
 
Mh. Hivi hujui kama huu mjadala ulisha ish???? Au ndoo unatafuta jina na kutaka tujue we ni muislam bora??
Ikumbukwe waislam wenye uislam ndani ni wengi wa hekima na upuuzu kama huu kwao hawana,jf haipo kukashifu mtu au dini lolote.
Ombi, waislam wenye kujitambua na wale mlio na maadil ya mtume naamini huyu mta mpuuuzano
 
Back
Top Bottom