Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Angalia Hizo Screenshot nilizo weka zinaonyesha Biography ya huyo Jamaa Naomba Utulize Moyo wako na Akili yako kisha SOMA hiyo biography yake IPO ktk Wikipedia alafu fananisha na Post hiyo tafadhali SOMA kiuadilifu bila Jazba!!!!
 
Mh. Hivi hujui kama huu mjadala ulisha ish???? Au ndoo unatafuta jina na kutaka tujue we ni muislam bora??
Ikumbukwe waislam wenye uislam ndani ni wengi wa hekima na upuuzu kama huu kwao hawana,jf haipo kukashifu mtu au dini lolote.
Ombi, waislam wenye kujitambua na wale mlio na maadil ya mtume naamini huyu mta mpuuuzano
Hapana sio Sahihi Maneno yako kwa huenda ukawa unayasema haya kwa Hasira na hiyo sio Mizani ya sawasawa siku zote Waislam hupenda Kudhihirisha Haqi bila ya Kuangalia lawama za mwenye kulaumu Tambua ndugu Mola wako ndio alio kuamba kwaajili ya kumuabudia yeye sasa iweje wewe mtu msomi ukajua kabisa ya kuwa huyu mtu ni Muigizaji sio Yesu kisha Ukaanza kuomba ktk Picha au Sanamu lake Je hiyo ni sawa ? Naomba unijibu kiuadilifu......
 
yaani mtu aliyeigiza kama Yesu...wewe unamuita Yesu wa Bandia!?...kwani tangu lini alisema yeye ni Yesu!?, ....unaposema wakristo tunamuabudu Brian naomba uombe radhi maana hujui imani ya ndani ya mtu!...utakula matusi yote muda si mrefu
SOMA vizuri nmeandika wakristo wengi sio wote Naomba uwemakini ktk kumnukuu mtu.
 
we hayawani wa mecca, okay tunamuabudu Brian Beacon kama usemavuo, okay hiyo ni imani yangu, sasa shida yako ni nini!? au inskuhusu nini!?
Lengo Langu sio kutoleana Maneno makali Bali ni kuwafahamisha wale waliokuwa hawajui wafahamu ukweli kisha wachukue hatua stahiki juu ya Iman hiyo!!!
 
Hapana sio Sahihi Maneno yako kwa huenda ukawa unayasema haya kwa Hasira na hiyo sio Mizani ya sawasawa siku zote Waislam hupenda Kudhihirisha Haqi bila ya Kuangalia lawama za mwenye kulaumu Tambua ndugu Mola wako ndio alio kuamba kwaajili ya kumuabudia yeye sasa iweje wewe mtu msomi ukajua kabisa ya kuwa huyu mtu ni Muigizaji sio Yesu kisha Ukaanza kuomba ktk Picha au Sanamu lake Je hiyo ni sawa ? Naomba unijibu kiuadilifu......
Uhalisia wa imani ya mtu hua umo ndani ya moyo wake. Mimi sibishani na wewe kwani ntawakosea waislamu wasio na hatia kama hizo zako.
Make hutochelewa kusema dini safi ni uislamu
 
ishadiliwa kama mara elfu moja hii ishu humu...acha kurudia mada mzagao bana kabla hamjaanza kupost topics ebu ingieni google kwanza msearch key words za topic yko ili ujiridhishe kama ilishajadiliwa hapa jf au la au hata humu humu jf ukisearch kweny iyo search bar yao utaletewa topic zenye neno brian deacon km mia hivi zote zinaongelea mambo yanayofanana kumuhusu...haya kama unataka kujua wadau walicomment nini tafuta hizo uzi humu.ukicomment uko utajiupdate hapa na mjadala unaweza kuendelea,sio lazima ulete uzi mpya km huna idea ya mada mpya bora ubaki kuwa mchangiaji tu.
Shukran!
Jambo hili ndugu nadhani alifahamu linauzito gani mbele ya Mwenyezi Mungu ikiwa mtu akakufa ktk mwenendo huu na Tatizo sio mada imejadiliwa Mara ngapi Tatizo ni wangapi wanafahamu Ukweli wa Jambo hili ikitokea hata mtu mmoja akaelewa na akaacha Jambo hilo ni kheri kubwa sana!!!
 
Ikumbukwe mda wa kueneza dini kwa kudharirisha dini nyingine huku ilishapitwa na wakati,

Cha ajabu unakumbuka dini yako safi, lakini misingi ya dini yako hufuati hata mmoja, kwa kutimiza nguzo za uislamu we haumo hata moja ni mshabiki tuuu wa uislamu kama washabiki wa klazbu za mipira.
Nawafahamu vizuri waislamu wanaojua nini maana ya uislam. Itikadi hizo walisha achaga zamani. Sasa hivi kazi yao ni kutafuta thawabu kwa kufanya mema na kulinda kila kiwatokacho vinywani mwao
 
Ikumbukwe mda wa kueneza dini kwa kudharirisha dini nyingine huku ilishapitwa na wakati,

Cha ajabu unakumbuka dini yako safi, lakini misingi ya dini yako hufuati hata mmoja, kwa kutimiza nguzo za uislamu we haumo hata moja ni mshabiki tuuu wa uislamu kama washabiki wa klazbu za mipira.
Nawafahamu vizuri waislamu wanaojua nini maana ya uislam. Itikadi hizo walisha achaga zamani. Sasa hivi kazi yao ni kutafuta thawabu kwa kufanya mema na kulinda kila kiwatokacho vinywani mwao
Sasa ndugu hayo unayosema kuusu kudhalilisha dini nyingine sio sawa katika post hiyo kuna udhalilifu gani?
 
Kwa uwezo wako mdogo yawezekana huoni impakti ya post yako na nini unalenga
Tunashukuru kwa hilo ila cha msingi ni bora ukafuata yale dini lako inataka kuliko kufanya haya
 
Mleta mada unataka kututoa kwenye imani yetu kijanjajanja..
Acha huo udhalilishaji mkuu wangu
 
Hii ilishajadiliwa zaidi ya Mara 3 humu. Mtoa mada nadhani ungepitia post za wengine zakumuhusu Brian Deacon ungejua hakuna kipya ulicholeta....!! Utaishia kejeli zitazidi hapa maana majibu mazuri yalishatolewa katika mada ziizopita
 
Hii ilishajadiliwa zaidi ya Mara 3 humu. Mtoa mada nadhani ungepitia post za wengine zakumuhusu Brian Deacon ungejua hakuna kipya ulicholeta....!! Utaishia kejeli zitazidi hapa maana majibu mazuri yalishatolewa katika mada ziizopita
Nimejaribu kutafuta Izo za nyuma sijaziona kutumia ilo jina inakuja hii topic
 
Nimejaribu kutafuta Izo za nyuma sijaziona kutumia ilo jina inakuja hii topic
Zipo nyingi sana. Mwaka huu tu zimekuja Mara mbili. Nikiwa katika PC nitajaribu kuzisaka Na kupesti link zake hapa.
 
Back
Top Bottom