Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Ndio maana naona jina la mwigulu kwenye makaravati kama matangazo.
 
Team Mwigulu kazini!
Huu mfumo wa team ndiyo utakuja kuwazika.
Chama kimekuwa kama hakina mwenyewe vile i.e hakuna viongozi wa chama wa kupiga haya madudu team yanayoendelea.

Nimecheka sana mkuu umenikumbusha huko Instagram kuna matimu.yani ni ugomvi tu team hii ukizingua team ile wote wanakushambulia.nimecheka sana
 
hivi mtu na akili zake anaweza vipi kwenda kujisimamaisha sehemu ili apigwe picha na mtu fulani na kuitumia picha hiyo kutangaza uchu wake?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ccm hakuna raisi zaidi ya Lowassa,niko upinzani nasema wasipomsimamisha lowassa ccm inaangukia pua,aminini msiamini.

nashangaa sana wanaoamini kuwa EL atasababsha ccm ianguke eti atajitoa na kuivuruga, trust me EL hata akipgwa chini atanywea tu hana ubavu wa kujitoa fisiem!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Sawa, basi avue hiyo skafu. Atatia aibu huyo mgombea wenu mtarajiwa.
 
Kwani Mwigulu ana miaka mingapi?
Hilo nalo neno......................

Kwa kuwa inajulikana kuwa Mwigulu Nchemba original, yule msukuma, ambaye inasemekana 'alimuazima' cheti chake cha darasa la saba, ndiye alisheherekea birthday ya kufikisha miaka 40, mwaka jana.

Huyu Madelu Lameck aka Mwigulu Nchemba, anayesemekana anaandaliwa Urais, itakapofika Oktoba mwaka huu, inasemekana ndiyo atakuwa ametimiza miaka 39.

Matakwa kwa mujibu wa katiba yetu ya nchi, inamtaka mgombea yeyote wa Urais, hapaswi kuwa na umri wa chini ya miaka 40, wakati anagombea nafasi hiyo ya juu kabisa ya nchi yetu.

Sasa huyo Mwigulu, anapaswa kwanza atatue utata huo wa umri wake, kabla hajafikiria 'kuuota' huo Urais.
 
Hilo nalo neno......................

Kwa kuwa inajulikana kuwa Mwigulu Nchemba original, yule msukuma, ambaye inasemekana 'alimuazima' cheti chake cha darasa la saba, ndiye alisheherekea birthday ya kufikisha miaka 40, mwaka jana.

Huyu Madelu Lameck aka Mwigulu Nchemba, anayesemekana anaandaliwa Urais, itakapofika Oktoba mwaka huu, inasemekana ndiyo atakuwa ametimiza miaka 39.

Matakwa kwa mujibu wa katiba yetu ya nchi, inamtaka mgombea yeyote wa Urais, hapaswi kuwa na umri wa chini ya miaka 40, wakati anagombea nafasi hiyo ya juu kabisa ya nchi yetu.

Sasa huyo Mwigulu, anapaswa kwanza atatue utata huo wa umri wake, kabla hajafikiria 'kuuota' huo Urais.

Haswaa tayari mwigulu yupo nje ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tz kwa kigezo cha umri kwa hiyo hilo jambo halipo.
 
Tokea Lowasa hawezi kuwa rais wa Tz na Mwigulu ni halikadhalika, mwigulu ccm saivi wanamjuwa dhati kwamba ni mtu wa misimamo si rahisi sana kufuata kila anachoambiwa na wakubwa zake, anajiamini 65%
 
Kama hayo ni ya kweli,
basi tanzania tunahitaji waasi!!
 
Huo ni uongo Wa mchana. Mwigulu ni mtaalam Wa uchumi professionally. Kuzunguka huko hakuna uhusiano na urais
 
Kesho mtasikia Diamond ndo atagombea.....mpaka oktoba tutasikia mengi mno. Sabato njema watu wa Mungu
 
Back
Top Bottom