Huyu ndiye Sultan wa Mwisho wa Zanzibar

Huyu ndiye Sultan wa Mwisho wa Zanzibar

Mkuu Yoda 、kwanza asante sana kuni tag,uzi huu Huyu ndo sultan wa Mwisho wa Zanzibar

Mkuu Danielmwasi, asante sana kwa bandiko hili, anaonekana ni mtu rahimu sana, aruhusiwe tuu kurejea Zanzibar.

Zanzibar ni one of my very special area of interest, yale mambo yangu ya kupenda misosi, nilipita mahali almanusura nisimishwe!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Tukirejea kwa huyu Sultan, kwa vile hakufukuzwa Zanzibar, alijiondokea mwenyewe, he is free kujirudia mwenyewe. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Kwa vile huyu kosa lake ni moja tuu Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe... tumemuomba。Rais Samia na rais Mwinyi wamsamehe tuu, wamkaribishe Zanzibar aje kumalizia Zanzibar, siku zake chache za maisha yake zilizobakia ili aki... ,a ... Zanzibar.

Mimi mwanajeiefu mwenzenu ni Mzee wa masauti nimeisha elezwa kitu na nikakieleza humu Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said Atafurahi Zaidi, Kama Ata... Zanzibar!, Rais Samia, Rais Mwinyi, Sameheni, Mtabarikiwa Sana!.

Na baada ya kuisikia sauti hiyo, tulituma ombi rasmi kwa Rais Samia Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Huu sasa ni wakati muafaka huyu Sultan aruhusiwe kurejea Zanzibar.
P
Upo vyedi sana mkuu.
 
Huyu ndo jamshid bin Abdullah the last Zanzibar sultan na mke wake .

Sula tu unajua huyu damu yetu kabisa 😂 . Mke wake ndo kabisa . Mtoto wa tanga huyu .

Any way he is a citizen of United Kingdom and currently retired in oman since 2020




View attachment 3121433
Kwanini mafisadi wa ASP walipomtimua alikimbiia Uingereza badala ya kukimbilia kwa waislamu au waarabu wenzake?
 
Huyu ndo jamshid bin Abdullah the last Zanzibar sultan na mke wake.

Sula tu unajua huyu damu yetu kabisa 😂. Mke wake ndo kabisa . Mtoto wa tanga huyu.

Any way he is a citizen of United Kingdom and currently retired in oman since 2020.

View attachment 3121510
Mzee Jamshid kazaliwa Septemba 16 watu waliozaliwa mwezi septemba dah ngoja ninyamaze tu
 
Arejee kwao Zanzibar , alizaliwa Zanzibar, anatakiwa a... Zanzibar na a... Zanzibar。
P
Malalo ya masultan Baba yake yupo amelala Zanzibar na Babu yake na eeh wote wamelala Zanzibar ila hutokuta popote linazungumziwa kuhusu makaburi ya masultan wa Zanzibar au ni mimi tu sijaona?
 
Malalo ya masultan Baba yake yupo amelala Zanzibar na Babu yake na eeh wote wamelala Zanzibar ila hutokuta popote linazungumziwa kuhusu makaburi ya masultan wa Zanzibar au ni mimi tu sijaona?
Wa Islam analazwa alipofia, ile ikulu ya Magogoni ilijengwa na Sultan of Zanzibar, mule ndani kuna makaburi ya the royal family.

Zanzibar pia kuna royal graveyard ila haitajwi wala kutembelewa, Zanzibar kaburi la shujaa ni moja tuu, lile la Kisiwandui。
p
 

Hapa ni walivyofika UK

1728661140044.png


Na hii ndio nyumba waliyokuwa wanaishi

1728661186196.png
 
Awamu zote nne alikuwa wap hakuja uweje Kwa Samia ndo arudi Kuna Siri gani hapo

Kweli kabisa, kuna walakini flani hivi. Unajua wale wakutoka nje ambao hawakubaliani na msimamo wa wa kisiasa wa Tanzania ndio wapenzi wa huyu bi mkubwa. Sisi ni wajamaa. Kwenye msimamo wetu, matajiri na watu wasio raia hawana nafasi kufanya wanavyotaka kwenye ardhi ya Tanzania. Ndio maana hata mwananchi wa kawaida nina kipande ardhi yangu mwenyewe. Hawa wote wanarudi tena kukaba nafasi za wazalendo. Tusipoliongelea hili sasa hivi, ni swala la muda tu, wazawa watakuwa wageni kwenye nchi yao. Mimi nimekaa pale!
 
Kwanini mafisadi wa ASP walipomtimua alikimbiia Uingereza badala ya kukimbilia kwa waislamu au waarabu wenzake?
Ukiwa Mu Oman ukikaa tu Kidogo Uingereza na Uraia unapewa, ukiwa na Passport ya Oman unakwenda Uingereza kwa kutoa tu taarifa nakuja, we jiulize kwanini London inaitwa 8th Emirate? UAE, Oman, Qatar na Nchi nyingi za Gulf zina mahusiano na Uingereza kwa mamia ya miaka na Viongozi wao wote wanalindwa na Waingereza.

Kwako wewe unaangalia udini na race ila kwa Waingereza wanajua bila hao jamaa nchi yao mambo hayaendi.
 
Ukiwa Mu Oman ukikaa tu Kidogo Uingereza na Uraia unapewa, ukiwa na Passport ya Oman unakwenda Uingereza kwa kutoa tu taarifa nakuja, we jiulize kwanini London inaitwa 8th Emirate? UAE, Oman, Qatar na Nchi nyingi za Gulf zina mahusiano na Uingereza kwa mamia ya miaka na Viongozi wao wote wanalindwa na Waingereza.

Kwako wewe unaangalia udini na race ila kwa Waingereza wanajua bila hao jamaa nchi yao mambo hayaendi.
Kama umesoma histori utakuwa ulisoma kuhusu Protectorate colonies.. mfano Zanzibar was a British protectorate
 
Mkuu Yoda 、kwanza asante sana kuni tag,uzi huu Huyu ndo sultan wa Mwisho wa Zanzibar

Mkuu Danielmwasi, asante sana kwa bandiko hili, anaonekana ni mtu rahimu sana, aruhusiwe tuu kurejea Zanzibar.

Zanzibar ni one of my very special area of interest, yale mambo yangu ya kupenda misosi, nilipita mahali almanusura nisimishwe!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Tukirejea kwa huyu Sultan, kwa vile hakufukuzwa Zanzibar, alijiondokea mwenyewe, he is free kujirudia mwenyewe. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Kwa vile huyu kosa lake ni moja tuu Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe... tumemuomba。Rais Samia na rais Mwinyi wamsamehe tuu, wamkaribishe Zanzibar aje kumalizia Zanzibar, siku zake chache za maisha yake zilizobakia ili aki... ,a ... Zanzibar.

Mimi mwanajeiefu mwenzenu ni Mzee wa masauti nimeisha elezwa kitu na nikakieleza humu Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said Atafurahi Zaidi, Kama Ata... Zanzibar!, Rais Samia, Rais Mwinyi, Sameheni, Mtabarikiwa Sana!.

Na baada ya kuisikia sauti hiyo, tulituma ombi rasmi kwa Rais Samia Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh?

Huu sasa ni wakati muafaka huyu Sultan aruhusiwe kurejea Zanzibar.
P

Siku akiiona Zanzibar ilipofikishwa na wavamizi atazimia
 
Huyu ndiye alikimbizwa na akina Okelo?
Anaizungumziaje hiyo patashika

Huyo hakuongoza nchi , Aliyeongoza nchi ni Waziri Mkuu , Mpemba wa Ole ,Muhammed Shamte ambaye alitekwa na Nyerere na kufungwa kwenye jela za Tanganyika kwa zaidi ya miaka 10 bila kufikishwa mahakamani , na ndio ukaona Tanganyika hairuhusu Wazanzibari kuchagua kiongozi wao kwani imetekwa na Tanganyika
 
Kwanini mafisadi wa ASP walipomtimua alikimbiia Uingereza badala ya kukimbilia kwa waislamu au waarabu wenzake?

Ni kwa sababu Waingereza walimsaidia Nyerere kuivamia Zanzibar na waliona akienda nchi nyengine itakuja kujulikana mpango wao kirahisi
 
Kweli kabisa, kuna walakini flani hivi. Unajua wale wakutoka nje ambao hawakubaliani na msimamo wa wa kisiasa wa Tanzania ndio wapenzi wa huyu bi mkubwa. Sisi ni wajamaa. Kwenye msimamo wetu, matajiri na watu wasio raia hawana nafasi kufanya wanavyotaka kwenye ardhi ya Tanzania. Ndio maana hata mwananchi wa kawaida nina kipande ardhi yangu mwenyewe. Hawa wote wanarudi tena kukaba nafasi za wazalendo. Tusipoliongelea hili sasa hivi, ni swala la muda tu, wazawa watakuwa wageni kwenye nchi yao. Mimi nimekaa pale!

Uvamizi wa Nyerere unakaribia mwisho
 
Back
Top Bottom