Huyu ndiye Sultan wa Mwisho wa Zanzibar

hii ni kweli na ni sharti Nyerere alipewa na waingereza
 
hii ni kweli na ni sharti Nyerere alipewa na waingereza
Na bara zaidi Muhammed Shamte alichaguliwa kwa halali chini ya tume huru ya uchaguzi , lakini wenye nguvu hawakupenda uchaguzi huru uendelee Zanzibar na Tanganyika wakatuletea chama cha kupindua matakwa ya watu chama cha Mapinduzi
 
Sultan Jamsheed bin Abdullah alikuwa anawinda nguruwe wa nini? huku alikuwa Islam safi? Wazanzibar tusaidieni jameni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…