Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Ama kwelu fahari ya USED ni uwepo wa USERS, haya nenda kachukue mkate wako wa siku pale maskani
 
Dalili zinainyesha Magufuli kumuandaa Lukuvi kuwa waziri wake mkuu..
 
IKULU SI PANGO LA WALANGUZI NA WEZI
IKULU SI WODI YA WAGONJWA
hatutaki kuja kufanya uchaguzi mwingine

JPM anatosha na ndiye RAIS nasubiri kuapishwa tu

Mtaishia kunawa tu. Rais wa awamu ya tano ni E N Lowassa
 
hakuna namna km magufuli akishinda kurudi tena North kwa ajili ya PM ili kubalance mambo....vigninevyo mziki huu hadi 2020
 
hata kama yangetokea maajabu ya magufuli kushinda ( uhakika ni kwamba hatashinda ) , na kama sheria ya nchi bado inataka waziri mkuu awe mbunge wa kuchaguliwa jimboni basi muondoeni mwakyembe , hawezi kumshinda mwanyamaki kyela . utafiti umefanyika .
 
Mwakaa huu tusipoangalia kazi ipo kubwa sanaa...tutasikia.hata tuzo za mtumbuizaji bora katika kipindi cha campaign
 
Ndio maana wengine tunaamini ni ngumu kupata mabadiliko ndani ya CCM...

Kuna sura zile zile ambazo zimekuwa zikiharibu kila uchwao...
 
hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayewaza lowassa atakuwa rais wa nchi hii, kweli umeishiwa kijana bora utulie tu

Kawakama sisi tunachagua raisi wa Tanzania. Hio sura yako na jina lako linafanana na wale Bushmen. Nakuripoti uhamiaji wakufuatile huna haki ya kupiga kura nchi hii. Ukapige kura Botswana au Namibia. Lowasa ni raisi wa Tanzania 2015.
 
Mtaishia kunawa tu. Rais wa awamu ya tano ni E N Lowassa
Uraisi unapatikana kwa kampeni; kuwalisha watu maneno hata kama ni ya uongo hadi wayaamini. UKAWA hawana ubavu huo wao kazi yao maonyesho na siku zinavyopita wakereketwa wanapoteza imani hata hizo nyomi zitapwaya. Wanazo agenda nzuri na zenye nguvu lakini wamekuwa mabubu hawaziongei kwa nguvu kama wenzo ambao wanabambikizia kitu na kung'ang'ana nacho hadi kinashika; leo sisiem wamekuwa ndio mashujaa wa kupiga vita ufisadi na ndio wachapa kazi na watetezi wa wananchi. Waliolizwa hadi kutoka bungeni wako kibubububu hawajui waongee nini kazi kusifia nyomi lazima ile kwenu
 
Wameoza samaki wawili tu jamani!!
So tuwanusuru samaki wengine wasiendelee kuoza.

Lakini kwa nini sehemu zenye maendeleo tz na watu wake wameelimika ndo upinzani uumekomaa. Moshi, pemba, Dar, mbeya nk Katika uchumi huria maskini Hawezi kutawala Tajiri. Hata akitawala ataendeshwa kama remote control ya tv hatakuwa na maamuzi ya kwake Ila ya Tajiri
 
Back
Top Bottom