Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Elections 2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

Nwakyembe anafaa ili muhongo achukue nishati
 
Mkurupukaji mwenyewe magufuli hawezi kuwa waziri mkuu alafu mnasema kuna mtu anaweza kuwa waziri mkuu wa makufuri?
Magufuli ni fisadi na mwizi wa nyumba za serikali na kwa ukurupukaji wake ameishaisababishia serikali hasara ya mabilioni
 
Ukisha kua na Rais aina ya Magufuli then kati ya hao hakuna anayefaa uwaziri mkuu. This is my honest opinion
 
Waziri mkuu kutoka sisiem wa serikari ya Ukawa? Ni ngumu sana kutokea TZ
 
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1

muwe mnasikiliza vizuri kinachoongelewa sio mnakurupuka tu kama mmkalia misumari ya moto.
 
Lakini kwa nini sehemu zenye maendeleo tz na watu wake wameelimika ndo upinzani uumekomaa. Moshi, pemba, Dar, mbeya nk Katika uchumi huria maskini Hawezi kutawala Tajiri. Hata akitawala ataendeshwa kama remote control ya tv hatakuwa na maamuzi ya kwake Ila ya Tajiri
Samahani Mkuu hivi Pemba nako kuna maendeleo?!! Nijuze ndugu yangu.
 
Magufuli hashindi urais, hivyo hawezi akawa na waziri Mkuu! Mwakyembe naye hashindi ubunge hivyo hawezi akawa waziri Mkuu! Waziri Mkuu wa Lowassa atakuwa Serukamba (naye itategemea kama atabahatisha kushinda kule K/Kaskazini) na hii itatokana na ukweli kwamba wabunge wa ccm ndo watakuwa wengi kuliko wa UKAWA!
 
Umofia kwenu wana JF,

Wanasiasa wote pindi wanapokuwa wametia nia ya kutaka kuongoza nchi katika nafasi ya juu kabisa ya kisiasa duniani, kitu cha kwanza kabisa ni lazima mwanasiasa huyo awe na TEAM yake itakayomsaidia kufikia malengo yake ya kuongoza nchi, kama ndivyo ivyo basi #TEAM_YA_MAGUFULI ikiongozwa na secretariate ya CHAMA CHA MAPINDUZI imeshakwishajihakikishia ushindi mnono wa URAIS 25-10-2015 kutokana na kukubalika sana kwa mgombea wao JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mabaye anaonekana kutokuwa na mpinzani katika nafasi hiyo baada ya mgombea wa UKAWA kuonekana kushindwa japo kumaliza tu kampeni zinazoendelea kutokana na afya yake kuzidi kuzorota kila siku hali inayowatia hofu VIONGOZI WAANDAMIZI WA UKAWA.

Narejea kwenye lengo la uzi huu la kuwaonesha WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA DR JOHN POMBE MAGUFULI. waziri mkuu atatoka kati ya hawa watu makini watatu

1.DR HARRISSON GEORGE MWAKYEMBE

2.FIELD MARSHALL Mwigulu Nchemba

3.PROF.SOSPETER MUHONGO


Hivyo basi piga ua galagaza WAZIRI MKUU wa serikali ya awamu ya tano ya CCM CHINI YA TINGATINGA MAGUFULI atatoka kati ya huo UTATU MTAKATIFU.

By kawakama

Ondoa mwakyembe hapo weka lukuvi alafu ngoma inogile
 
6 anafaa xana zaid ya lukuv na hata hvyo ANGEKUWA UKAWA LAKN VINGNEVYO ATAUONA UWAZR MKUU KWENYE LUNINGA MZEE KASHA INGIA WHITE HOUSE
 
Mie nampa chapuo lukuvi

Sura zile zile za nini? Nina uhakika kuna wabunge wengine ambao ni vichwa, toa surprise ya kuwa kweli kuna mabadiliko hadi ya sura. Sio misura ile ile, watu wanabadilishana tu siti ktk daladala.
 
Back
Top Bottom