Huyu ndiyo mchezaji anayebeba nyota ya mafanikio ya Yanga

Huyu ndiyo mchezaji anayebeba nyota ya mafanikio ya Yanga

Mkuu LIKUD hebu tufupishe story sasa twende kwenye point muhimu, kwa hiyo j2 utopwinyo tunawadunda kama ngoma au......
 
Toa utaahira wako hapa...kwani hakucheza na wasudan WALIVYOWABAKA UTOPOLO
 
Ila kama kuna ukweli fulani , mechi zote ambazo Moloko anapewa nafasi ya kucheza Yanga huwaga wanashinda mtoa mada una hoja. Hata mechi ya Simba ya juzi alipo ingia Moloko yakapatikana magoli mawili. Kisinda hana anacho kijua zaidi ya mbio tu.

Mechi ya Al Hilal ya Dar Al Hilal walikosa magoli manne ya wazi, Moloko alicheza dakika kadhaa siku hiyo huenda uwepo wake uli fanya Yanga isi fungwe Naamini hata mechi ya Khartoum kama Moloko angecheza huenda Yanga tungeshinda.
Smart AJ
 
Hao simba watafungwa na Nkane na Ngushi
Nkane ana nyota ya bahati yeye kama yeye lakini nyota yake haiendani na nyota ya mafanikio ya Yanga. Mwenye nyota ya mafanikio ya Yanga ndani ya uwanja kwa sasa ni Jesus Moloko
 
Back
Top Bottom