Kiroho ule mdomo wa aziz ki unamafanikio makubwa sana muulinde tar 23 uwepo
Dah ogopa Mwenyezi Mungu na Internet. Rudi ujibu hoja yako.Waliokufunga ni hao kweli?Au umegeuka redio ya mbao?Kumfunga Simba huitaji Nyota yoyote, timu Ina wachezaji wawili tu Chama na phiri ndio isifungwe? Upeni mpira heshma yake.
hayupo jf siku hiziJamaa alikimbia Uzi wake na hataki hata kuuona [emoji16]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app