Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

Kwa nini? Kuanze kumulikwa kwenu kwanza ndio wamalizie Mtwara. Machafuko ya gesi hatujayasahau bado halafu unataka watuletee mengine. Pimbi wewe jamii ya wafugaji...
Kulikua kuna ulazima wa kunitusi mkuu??? kuna kitu unatafuta si bure.
 
Huyu jamaa kwa sauti yake tu nilivyoisikia ni mmojawapo wa viongoz wa chama cha siasa
 
Kwa polisi hapo kachokoza moto,watamkamata tu siku si nyingi,vitu anavyotaka kufanya kwa Tanzania haviwezekaniki,sehemu nyingine wanakuwa na sapoti ya baadhi ya wananchi wa kawaida,kwa Tanzania sapoti hiyo kamwe hawawezi kuipata na polisi jamii itafanya kazi yake.
 
the journey has just begun,spinin zitakuwa za kutosha mwaka huu,sa cjui hii record inaitwaje!!!
 

Mmmmhhhh this is drama kwa kwel.
Maigizo maigizo tuuuu, tena haya ya bongo movie kabisa. Ni mwny akili ndogo tu atayaamin haya maigizo. Ila serikali hii inatuona ss watanzania hatuna akili kabisa.

Hiyo source ynyw eti GPL.
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa kama anafanya utani...basi analo maana utani wake umepitiliza. Lakini kama anasema na anafanya kweli...eeh Mungu tuepushe na hili balaa!
Bado napata shida kuamini hii kitu ila si vizuri kupuuzia vitu kama hivi. Pia najiuliza why now , unakumbuka mwaka flani wa uchaguzi mkuu kuliiibuka mambo kama haya sasa je haya yote ni uchaguzi au what is behind the scene.
 
Unajua nami nimefikiria hivi hivi halafu why now , kwanini hawakujitangaza kipindi cha mabomu yaliyokua yanarushwa sehemu kadhaa hadi kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Halafu ukiangalia vizuri video hii iko wazi kabisa sasa kwa watu wenye utaalamu wa mambo haya ni rahisi kwao kumjua.
 
Hapa ndipo uzalendo wahitajika lolote baya kuwahi kutaarifu mie mwislam tena mwenye zoote sifa kamwe siwezi toa nafsiya mwandam nisie na chukinae tujumuike kuilinda nchi yetu tutakae adhirika nisie raia
Mwenzetu wewe tayari unao uwezo wa kujilinda manake wakiona hiyo bodi yako tu lazima watoke nduki lol
 
Chanzo cha habari chenyewe gazeti la udaku lingekuwa mwananchi au nipashe ningeamini lakini udaku hauna ukweli ndani yake
 
Maendeleo ya Sultan Mangungu haya..sasa ivi hadi Tz kuna akina Abubakari Shekau 2.0 ndani ya this crazy semi-anarchy bongoland...!
 
Kama hii taarifa haina ukweli wowote, ninadhani GlobalPublishers inabidi wapewe onyo kusambaza habari kama hizi za kigaidi kwa umma na kutengeneza panic. Kwanini huyo aliyewapatia copy hawajampeleka polisi kwa maswali zaidi?
 
Sasa mbona wamechagua sehemu mbaya ya kupigia picha?? Yaani wamejiweka wazi kabisaa
 
Habari zilizonifikia mda huu Ni kuwa,kuna mapambano makali sana yanafanyika huko handeni tanga kwenye mapango ikisadikika kuwa alshababu wamejificha huko,imetanganzwa ATV mchana huu
 
Nina wasiwasi hii ni janja ya ccm kutuogopesha ili tusijitokeze kwenywe uchaguzi. Lazima tuhakikishe tunasimama imara kuwang'oa pamoja na vitisho vyao. Mungu ibariki Tanzania.

Tukupime kama we ni mtanzania ila we kama sio mbongo basi nenda hatukupimi akili
 
Kazi imeanza sasa,tushazalisha akina boko mara hii?mbona tumewah sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…