Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
potelea mbali. Mnadharau sana kusini nyinyiKulikua kuna ulazima wa kunitusi mkuu??? kuna kitu unatafuta si bure.
potelea mbali. Mnadharau sana kusini nyinyi
Yeah GPL wanamaliza Nguvu sana usipokuwa makini.Nguvu zimeniishia.
Ha ha ha
Mkuu umenifurahisha sana.
Hawa ndiyo dawa yao hiyo.
Ha ha ha
Lugha ngumu ndizo wanazozielewa.
potelea mbali. Mnadharau sana kusini nyinyi
Wameweza kuchukua silaha mikononi mwa polisic wakiwa hawana silaha??????? mbona naskia walikuwa na mapanga na visu inamana visu siosilaha??.
lugha ya kimama kabisa hiyo
Sasa mtu mwenye panga na kisu akichukua bunduki, risasi na mabomu kutoka kituoni DOES IT MAKE SENSE eventhough unasema kisu na panga ni silahs!??😕
Wataalam wa lugha tuambieni, huyu jamaa mwenyeji wa wapi? mchaga akiongea tunajua, mzaramo tunajua, mndengereko, muhaya, msukuma, mngoni, mujita, mkurya, mnyaturu, muha, na wengineo. Huyu atakuwa mwenyeji wa mkoa gani???????
Kwa hivyo tukitazama kwa umakini video hii imepigiwa maeneo ya pwani kwani unaweza kusikia upepo ukivuma ktk microphone na pia miwani aliyovaa jamaa inaakisi bahari ya buluu na mchanga wa ufukweni pwani.
Hivyo vyombo vya usalama vinaweza ku-''zero'' ni maeneo gani video hii imechukuliwa na ni jengo/nyumba gani iliyo mkabala kabisa na ufukwe wa pwani yenye madirisha yasiyopungua mawili huku ikiwa na chumba kikubwa kisicho samani (fenicha) nyingi kama inavyokuwa reflected na miwani ya huyu jamaa.
Pia uso wa huyu jamaa haujazibwa vya kutosha pia ana kijikovu usoni hivyo jamii inayomzunguka inaweza kumtambua hasa hasa majirani, waliosoma nae shule, wasomajiwa GlobalPulishers na watumiaji wa mitandao.
Huyu ni mzanzibari ten mpemba na wala si mwenyeji wa Tanga kama anavyotaka kutuaminisha. Umri wake inaonekana ni kati ya miaka 35 na 40. Feature zingine amezitoa mdau hapo juuu. Vyombo vya dola vikifanya kazi yake atapatikana tuWataalam wa lugha tuambieni, huyu jamaa mwenyeji wa wapi? mchaga akiongea tunajua, mzaramo tunajua, mndengereko, muhaya, msukuma, mngoni, mujita, mkurya, mnyaturu, muha, na wengineo. Huyu atakuwa mwenyeji wa mkoa gani???????