MwanaWA Ebrania
JF-Expert Member
- Oct 6, 2017
- 939
- 1,147
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lkn anahudumiwa na nani, hili ndo swali languKwahiyo uzalendo siku hizi ni kuvaa masago na kutembea barabarani?
Mimi naona huo ni uchizi. Wazalendo ni wale wanaotokwa jasho na kulipa kodi ambazo rais anawaambia mawaziri wake wazile kwa urefu wa kamba zao.
Huyo ni chizi tu kama machizi wengine.
Anadhaminiwa na nani?Mpumbavu tu huyo.
Ni mtu asie na akili na ambae hana kazi ya kufanya.
Naona siku hizi tafsiri ya neno uzalendo imebadilika.Maskani yake kubwa Pale Ubalozi Ostabay
NANI anamjua!? View attachment 2099645View attachment 2099646
[emoji28] Umaskini ndo uliomdhaminiumasikini mbaya sana!!!!.
Lengo Lao hao tiss ni nini?TISS
Maskani yake kubwa Pale Ubalozi Ostabay
NANI anamjua!? View attachment 2099645View attachment 2099646
Usiropoke mambo usiyoyajuaTISS
Lkn anahudumiwa na nani, hili ndo swali langu
Awamu ya tano ime asisi haya mambo naona yana endelea
Kodi zetu watu wanazila kwa urefu wa kama zaoKwahiyo uzalendo siku hizi ni kuvaa masago na kutembea barabarani?
Mimi naona huo ni uchizi. Wazalendo ni wale wanaotokwa jasho na kulipa kodi ambazo rais anawaambia mawaziri wake wazile kwa urefu wa kamba zao.
Huyo ni chizi tu kama machizi wengine.
Hakika...TISS
Huyo anajua anachokifanya na ww fanya unayoyajua mambo mengine achana nayo tu.Lengo Lao hao tiss ni nini?