Huyu ndugu yetu mzalendo analipwa na nani?

Huyu ndugu yetu mzalendo analipwa na nani?

Tukiwakataza matumiz ya. Bangi mnatujia juu

Hayo ndio madhara yake
Mzazi unamzaa mtoto Kisha unamona anafanya ujinga huu Kama wa nuhu mziwanda
 
Chizi eti yupo up to date kwenye current affairs na mwandiko wake ni superb! Hii nchi watu hawaijui. Usione vyaelea……….
Usilete nadharia za vijiweni hapa. Kuna aina nyingi sana za ukichaa. Kuandika mwandiko mzuri hakumaanishi mtu siyo kichaa. Hata kujua mambo yanayoendelea hakumaanishi kuwa mtu siyo kichaa. Kuna vichaa wanaojua current affairs kuliko watu wenye akili timamu.
 
Lengo Lao hao tiss ni nini?
Usikubali. Hili suala la kuamini eti vichaa ni mawakala wa intelijensia imepitwa na wakati na haina ukweli wowote. HHuyu ni mjanja anayekula fedha za wapita njia wajinga wajinga tu. Ni mbinu ya kuomba na anaishi kama omba omba wengine wanavyoishi. Kuna wajinga wengi sana wakiona watu wanaosifia watawala huwapa vizawadi. Sehemu alizotega mingo ni sehemu wanazopita watawala.
 
ccm haishindwi kuwa mdhamini hapo mnadhani nani kampa hilo bangi huyo mwendawazimu
 
Back
Top Bottom