Huyu ndugu yetu mzalendo analipwa na nani?

Huyu ndugu yetu mzalendo analipwa na nani?

Usikubali. Hili suala la kuamini eti vichaa ni mawakala wa intelijensia imepitwa na wakati na haina ukweli wowote. HHuyu ni mjanja anayekula fedha za wapita njia wajinga wajinga tu. Ni mbinu ya kuomba na anaishi kama omba omba wengine wanavyoishi. Kuna wajinga wengi sana wakiona watu wanaosifia watawala huwapa vizawadi. Sehemu alizotega mingo ni sehemu wanazopita watawala.
Mkuu
Kiatu hupita ama hupitishwa kila konaninayoweza kukanyaga

Mkuu usipuuze kiatu
 
Huyu mama yenu habebeki. So pathetic. Mpaka kwenye mpira wa miguu yanatembezwa mabango. Mwenyewe anajua kuwa hatoshi
 
😂😂

1667925805757.png
 
Kwahiyo uzalendo siku hizi ni kuvaa masago na kutembea barabarani?

Mimi naona huo ni uchizi. Wazalendo ni wale wanaotokwa jasho na kulipa kodi ambazo rais anawaambia mawaziri wake wazile kwa urefu wa kamba zao.

Huyo ni chizi tu kama machizi wengine.
Ningekuwa na wadhifa wa kukupongeza ningefanya hivyo haraka sana
 
Huyu mama yenu habebeki. So pathetic. Mpaka kwenye mpira wa miguu yanatembezwa mabango. Mwenyewe anajua kuwa hatoshi
Mh! Kwa nini hasitoshe
Wakati Anafanya mambo mengi makubwa na mazuri
Ikiwemo kukamilisha miladi mikubwa aliyeanzisha mwenda zake

Lkn pia Mama ametutoa sehemu ambayo ilikuwa ngumu sana
Tunapaswa kumshukuru Mungu Kwa uwepo wa awamu ya 6
 
Usikubali. Hili suala la kuamini eti vichaa ni mawakala wa intelijensia imepitwa na wakati na haina ukweli wowote. HHuyu ni mjanja anayekula fedha za wapita njia wajinga wajinga tu. Ni mbinu ya kuomba na anaishi kama omba omba wengine wanavyoishi. Kuna wajinga wengi sana wakiona watu wanaosifia watawala huwapa vizawadi. Sehemu alizotega mingo ni sehemu wanazopita watawala.
Hapo kuna ukweli [emoji120]
 
Usilete nadharia za vijiweni hapa. Kuna aina nyingi sana za ukichaa. Kuandika mwandiko mzuri hakumaanishi mtu siyo kichaa. Hata kujua mambo yanayoendelea hakumaanishi kuwa mtu siyo kichaa. Kuna vichaa wanaojua current affairs kuliko watu wenye akili timamu.
Inawezekana akawa ni kichaa kweli
Lkn hapo anahudumiwa na nani!??? [emoji848]
 
Back
Top Bottom