MkuuUsikubali. Hili suala la kuamini eti vichaa ni mawakala wa intelijensia imepitwa na wakati na haina ukweli wowote. HHuyu ni mjanja anayekula fedha za wapita njia wajinga wajinga tu. Ni mbinu ya kuomba na anaishi kama omba omba wengine wanavyoishi. Kuna wajinga wengi sana wakiona watu wanaosifia watawala huwapa vizawadi. Sehemu alizotega mingo ni sehemu wanazopita watawala.
Sipuuzi mkuu lakini huyu jamaa ni jamii ya ombaomba tu.Mkuu
Kiatu hupita ama hupitishwa kila konaninayoweza kukanyaga
Mkuu usipuuze kiatu
Na wahuni wanazikung'uta vibaya vibaya maana walishapewa GO AHEAD, ni mwendo wa kupiga tuambazo rais anawaambia mawaziri wake wazile kwa urefu wa kamba zao.
Ningekuwa na wadhifa wa kukupongeza ningefanya hivyo haraka sanaKwahiyo uzalendo siku hizi ni kuvaa masago na kutembea barabarani?
Mimi naona huo ni uchizi. Wazalendo ni wale wanaotokwa jasho na kulipa kodi ambazo rais anawaambia mawaziri wake wazile kwa urefu wa kamba zao.
Huyo ni chizi tu kama machizi wengine.
Eeeeh [emoji848]Ningekuwa na wadhifa wa kukupongeza ningefanya hivyo haraka sana
Daah!
Okay,
YeahSipuuzi mkuu lakini huyu jamaa ni jamii ya ombaomba tu.
Mh! Kwa nini hasitosheHuyu mama yenu habebeki. So pathetic. Mpaka kwenye mpira wa miguu yanatembezwa mabango. Mwenyewe anajua kuwa hatoshi
Hapo kuna ukweli [emoji120]Usikubali. Hili suala la kuamini eti vichaa ni mawakala wa intelijensia imepitwa na wakati na haina ukweli wowote. HHuyu ni mjanja anayekula fedha za wapita njia wajinga wajinga tu. Ni mbinu ya kuomba na anaishi kama omba omba wengine wanavyoishi. Kuna wajinga wengi sana wakiona watu wanaosifia watawala huwapa vizawadi. Sehemu alizotega mingo ni sehemu wanazopita watawala.
Mh!ccm haishindwi kuwa mdhamini hapo mnadhani nani kampa hilo bangi huyo mwendawazimu
Usikute kanda kujipanga upyaaaJua limemchapa, siku hizi haonekani tena
Si Anahamasisha Uzalendohamasa gani
Kiatu Kwa maana gani BossKiatu
Si mnajua kiatu jamani?[emoji3]
Inawezekana akawa ni kichaa kweliUsilete nadharia za vijiweni hapa. Kuna aina nyingi sana za ukichaa. Kuandika mwandiko mzuri hakumaanishi mtu siyo kichaa. Hata kujua mambo yanayoendelea hakumaanishi kuwa mtu siyo kichaa. Kuna vichaa wanaojua current affairs kuliko watu wenye akili timamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda Kuna mpumbavu zaidi yake anamdhamini.