Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
ChaiImepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 π
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Starehe imetoka 2004Babukijana hapa umetupiga kamba starehe sio ya 2003 au 2004 kweli, halafu wakati huo inawezekana alikuwa chini ya 24,
Huyu ndo alivyo sura yake tokea kijana sasa ni mtu mzima, sura ya kazi maana halisi ya mbantu umbile la pua na mdomo, tatizo hana nyota
Kwa sababu alikuwa staa.Kinachomfanya aonekane mkubwa zaidi ni hivyo anaendelea kunyoa style za Gen Z na mihereni. Sasa hivi anatakiwa kunyoa kibroo, mkato safi wa kigentleman na hereni aache mbona sio mzee kihivyo?
Ila maisha haya? Ferooz na pua yake kama sketi ya solo alikuwa anagombewa na wadada enzi zake!
Hakuwa amefika hiyo miaka .Ni mzaramo huyo inawezekana kipindi anatoa nyimbo Ile alikuwa na miaka 28
πππ
Atakuwa anagonga mataputapuHakuna uzee hapo n sura yake hiyo sema anaonekana alikuwa mtu wa ngada au pombe
Uko sahihi sana bibI kwa hili sikupingiWatanzania wengi wanazeeka haraka sura na miili kwa kukosa milo stahiki.
Abadili namna ya kula tu, asile kimazowea.
Nyama, samaki, mayai, maziwa mboga, matunda ndivyo vya kula. Ugali, wali, na chipsi ni vya kutowelea tu. Watanzania tunafanya kinyume cheke, tunakula ugali na wali, paka haruki. Nyama na Samaki harufu tu.
Watanzania wengi wanazeeka haraka sura na miili kwa kukosa milo stahiki.
Abadili namna ya kula tu, asile kimazowea.
Nyama, samaki, mayai, maziwa mboga, matunda ndivyo vya kula. Ugali, wali, na chipsi ni vya kutowelea tu. Watanzania tunafanya kinyume cheke, tunakula ugali na wali, paka haruki. Nyama na Samaki harufu tu.
Wawezakuta Slow Slow na Feruzi ni nduguHumphrey Polepole yeye ana mwonekano gani kwa sasa ukilinganisha na umri wake? ππ€£
W+Ulikua hujui, We Babu yako bado ni kijana?
Mada zingine bwanaπππ
Itakua kemera ndio imezeekaAmezeeka au ni kamera?
ππππWadau kumbe kuna kuzeeka aisee, huyu ferouz hatumii vitu kweli mbona kama age imeenda sana aise.
Unaweza kusema kikongwe, maisha kweli yanabadilika.
View attachment 3047769
Angeamua kutembeza Moto mapema, haikatai.So wataka kusema Feruzi ni Babu wa mtu!!!
W+