Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
Screenshot_20221230-133316.jpg
Screenshot_20221230-133200.jpg
Screenshot_20221230-133135.jpg
 
Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
 
Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa K ikiwasha, inajua kuchagua mshedede wa aina gan uingie? Hata wa kichaa utapokea tyuuh. Sembuse rapa feki wa chuga. Lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa K ikiwasha, inajua kuchagua mshedede wa aina gan uingie? Hata wa kichaa utapokea tyuuh. Sembuse rapa feki wa chuga. Lol

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
 
Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini alikata utumbo? Hivi hajui kuwa mbinguni hakuna hoteli?
 
Back
Top Bottom