Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Ila njia aliotumia kutafuta utatuzi si muafaka
Alipaswa kujua oda imetoka wapi TRA, au mahakama ili aende kufahamu chanzo wakishindwana ndo afike huku sosho media au mamlaka za juu

Ni hatari pia kwake kuweka taarifa hasa za mpunga mrefu hivyo kwenye public

Anyways hapo atatafutwa chap kama ilikuwa ni figisu na akaunti itaachiwa fasta
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Na kufuga majini UMUGHAKA anaweza kulidhibitisha hili

Nilidhasema jmn kina manara ,babalevel wachungweze jmn siyo sawa Hali ya ufisadi inaua dhamani ya pesa yetu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Pesa haramu??
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo , ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Huu ni upumbavu wanazuiaje pesa za mtu kirahisi sana hao TRA ni wachawi sana, hio pesa muhimu sana kwa uchumi wa nchi hasa mzunguko wetu wa pesa
 
Back
Top Bottom