glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Ila njia aliotumia kutafuta utatuzi si muafaka
Alipaswa kujua oda imetoka wapi TRA, au mahakama ili aende kufahamu chanzo wakishindwana ndo afike huku sosho media au mamlaka za juu
Ni hatari pia kwake kuweka taarifa hasa za mpunga mrefu hivyo kwenye public
Anyways hapo atatafutwa chap kama ilikuwa ni figisu na akaunti itaachiwa fasta
Alipaswa kujua oda imetoka wapi TRA, au mahakama ili aende kufahamu chanzo wakishindwana ndo afike huku sosho media au mamlaka za juu
Ni hatari pia kwake kuweka taarifa hasa za mpunga mrefu hivyo kwenye public
Anyways hapo atatafutwa chap kama ilikuwa ni figisu na akaunti itaachiwa fasta