Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wema kachoka sana aisee.
Mtumaini cha kuhongwa......!!
 
Ukute hapo watu wamefukunyua makusudi ili ijulikane pesa anapataje, maana mda wote huo walishindwa kublock km alikua halipi kodi na ana miliki biashara halali, ila kwa kuwa ni wa kisiwani wala asiwe na pressure soon acc ake itakua open.

Ila watu wana pesa khaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
 
Si
Ukute hapo watu wamefukunyua makusudi ili ijulikane pesa anapataje, maana mda wote huo walishindwa kublock km alikua halipi kodi na ana miliki biashara halali, ila kwa kuwa ni wa kisiwani wala asiwe na pressure soon acc ake itakua open.

Ila watu wana pesa khaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wa kisiwani, huyo Mrundi
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo , ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Huyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuri
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.

Kwamba huyu jamaa hajionyeshi [emoji23][emoji23]
 
Ila hizi showrooms za magari baadhi huwa nahisi ni kichaka cha kutakatishia pesa.

Ipo moja ya wadosi wanapokea cash pekee hakuna kulipia bank,wataku-escot kufuata pesa zako bank (ukitaka) ila za kwao uje uwape mkononi yard kwao.
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Sasa uuze unga alaf ujioneshe si utakuwa fala.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
JF JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huamini ninaweza kuwa na 847m 🏦 bank

Hivi show room Kuna crown za 2012 na 2014 ngapi na alphard ngapi na canter ngap , horse mbili za scania 124 na magari mengine ..show room ingine Kuna LX cruiser na cruiser 76 series Ni Bei gani hizo Kama unafahamu mixer magari mengine madogo dogo Ni pesa ngapi hizo hadi bank ushindwe kwa na 800m plus

Haya Bado wenye ma bus hao kina abood nk bus moja Ni sh ngapi na analeta ngapi .. imagine 430m+ na zinakuja bus 16 ..equal to 6.8bil unahisi bank anabaki na sh ngapi hapo unahisi anaweza toa 7b abaki na 1B bank?
 
Back
Top Bottom