Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Mwamba naiomba hio clips ya baharia akimla wema dendaaisee, kafaidi sana lips za wema, kale kavideo nnako kwa archives, em subiri kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba naiomba hio clips ya baharia akimla wema dendaaisee, kafaidi sana lips za wema, kale kavideo nnako kwa archives, em subiri kwanza
Wema kachoka sana aisee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio zizuiliwe kwa sababu wewe mchana hujala? Kwani Kuna mtu kadhulumiwaHizi tuhuma mbona kali sana? Anyway acha wafu wazike wafu wao, mtu ana bilioni 50 bank wengine tunawaza mchana unapitaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahAlipo kata tu ndio akapoteza mvuto kbsa kbsaa dah anatisha ukimuona
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unaenda kukatumia kustua kimoja au vp😂😂aisee, kafaidi sana lips za wema, kale kavideo nnako kwa archives, em subiri kwanza
Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofautiUkute hapo watu wamefukunyua makusudi ili ijulikane pesa anapataje, maana mda wote huo walishindwa kublock km alikua halipi kodi na ana miliki biashara halali, ila kwa kuwa ni wa kisiwani wala asiwe na pressure soon acc ake itakua open.
Ila watu wana pesa khaaaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu wanaenda kwa Wema ku boost umaarufu wao na kupotea hiv. LolMiss Endless Fame aliingia chaka sana , Mwanamke lazima uwe na nyama nyama ,sasa mtu kakaa kama ubao unadhani nani atavutiwa naye? Labda kina Whozu watafuta Kiki,wanatembelea nyota yake.
JF JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Sio wa kisiwani, huyo MrundiUkute hapo watu wamefukunyua makusudi ili ijulikane pesa anapataje, maana mda wote huo walishindwa kublock km alikua halipi kodi na ana miliki biashara halali, ila kwa kuwa ni wa kisiwani wala asiwe na pressure soon acc ake itakua open.
Ila watu wana pesa khaaaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan Wema angekua na akili sahv angekua mbali hata level ya Zari, mweeeeh ila sasa akili kisoda anaishia kujichetua na rapa feki wa chuga.Wema kachoka sana aisee.
Mtumaini cha kuhongwa......!!
Uwekezaji si kaweka kisiwani, hana nomaaa soon itaku open acc yakeSi
Sio wa kisiwani, huyo Mrundi
Huyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuriAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo , ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Nami nilishangaa. Mfanyabiashara/mtu binafsi ana-deposit 18mil usd!! Na kwa biashara ipi Mtu ana-risk kukulipa cash!! Kama ni kweli hata benki wana makosa makubwaHuyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuri
Na huo muamala ndio uliomponza...Nami nilishangaa. Mfanyabiashara/mtu binafsi ana-deposit 18mil usd!! Na kwa biashara ipi Mtu ana-risk kukulipa cash!! Kama ni kweli hata benki wana makosa makubwa
Sasa uuze unga alaf ujioneshe si utakuwa fala.Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Huamini ninaweza kuwa na 847m 🏦 bankJF JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwemzio ana 45yrs ana 57bn. Utaifikisha ukiwa na miaka 90Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti