Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kisima cha kiswahili kitarafa hiki, ama tuseme ni chemchem!Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
Tumeshawajua hao umughaka ametupa siri zao wanapopatia hela.Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Mimi sipendagi kabisa wadada wakubwa vile kudate na wadogo zao, hivi mtu kama wema alikosa hata kuchukuwa hata waziri mmoja akakomaa nae? Status yote alokuwa nayo? Siwezi date utitili mimi.Kisima cha kiswahili kitarafa hiki, ama tuseme ni chemchem!
Kila siku mnazalisha vimsemo!
Hawara wa mwenzako unamuita "utitiri"!
Komea kulitumia neno hilo kwenye comment hii, ukilirudia rudia litazagaa na utakuwa ni msemo kama ule wa dume zima kuitwa: "chawa", halafu jenyewe unakuta lipo mkukenua meno kwa furaha likihisi ni sifa!
Nasubiri OQPSasa wewe mwaka na miezi 6 humjui mwanaume. Si unajitesa mwenyewe 🙂 Maisha yanasonga mbele tu. Labda useme kwa spiritual reasons.
Ni matapeli au usalama wa taifa ndio machaka yao hayoWengi wanaojihusisha na Watoto Yatima ni matapeli.
Kuna yule wa Twitter
kweli aiseIla huu mkeka wa huyu jamaa umenifanya nijisikie hopeless sana.., mtafanya watu tuanze kuuza madawa ya kulevya jamani, hii mikeka yenu msiwe mnaiweka hadharani bhana, mi najionaga nina pesa, kumbe hamna kitu kabisa aisee ,daaah, mnatupa msongo wa mawazo
Huyo dogo nimemsoma muda tu😂, analeta story za kitoto hapa na matusiAmka wewe usije ukakojolea godoro la shemeji ako
Mimi nitafikisha hiyo nikiwa na 596yrs😂😂Mwemzio ana 45yrs ana 57bn. Utaifikisha ukiwa na miaka 90
🤣🤣🤣Sema jeifu 🙌
Unaweza muomba msaada mtu anayetakiwa kukuomba wewe
Yani unakuta amekuzidi uongo tu na confidence ya kimasikini
Achana na huyo jamaa,mimi sina ufahamu wowote wa biashara yoyote ile,lakini kwa kutumia tu akili ya kawaida huwa nikipita show rooms zote ninazozifahamu ni wazi kwamba ile sio biashara rahisiWe unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆
Biashara unazojua ni zile za motivation speakers wanazokupigia hesabu zako. Nakuuliza biashara ya showroom za magari unaijua au unaiskia? Hiyo biashara ni ya mishen town zaidi tu utapata hela ya kufanyia fujo mjini ila sio utajiri, madogo kariakoo na maduka yao ya vifaa vya magari wanakalisha washkaji kibao wenye showroom kubwa. Kama maana ya utajiri hujui google.
For your information huyo wa malori account kubwa ilikua kwetu sababu ya masharti ya bank facilities tulizokua tunampa na hiyo ni kawaida kabisa kwa bank na mfanyabiashara. Nahisi hakuna utakachoelewa hapa
Bado ila wa February tayari😂😂Wakuu Mshahara wa mwezi january bado ? [emoji856]
Kupambana sio Kupata bali kupata ni wakati tu. Na wakati ukifika KILA ufanyalo linatiki tu.
"Nikaambiwa nimuone meneja ,Nikapatwa na uoga"Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...Naona statement hujaisoma vizuri... umeona transaction ya 70K kwenda Mpesa, unataka kusema ametuma Usd 70,000 kwenda Mpesa Kenya?
Like Magufuli, like Suluhu! Mambo Yale Yale!Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Hiyo ni KCB Tanzania. Bank ya nje ikija bongo inafuata Sheria za hapa ikiwemo masuala ya usajili BOT.Kwani KCB bank ni benki ya wapi ndugu mwandishi? 🤣🤣🤣
Best wishes!Nasubiri OQP
Kwa hiyo Jamaa atakuwa ana mzigo kuliko Domokaya Diamond Platnumz? Anakaribia ukwasi wa Rapper Rick Ross mwenye ukwasi wa 45m usd.
Hapahapa bongo duh Kwa kweli hapo lazima zinanuka hizo pesa