Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
Kisima cha kiswahili kitarafa hiki, ama tuseme ni chemchem!

Kila siku mnazalisha vimsemo!

Hawara wa mwenzako unamuita "utitiri"!

Komea kulitumia neno hilo kwenye comment hii, ukilirudia rudia litazagaa na utakuwa ni msemo kama ule wa dume zima kuitwa: "chawa", halafu jenyewe unakuta lipo mkukenua meno kwa furaha likihisi ni sifa!
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Tumeshawajua hao umughaka ametupa siri zao wanapopatia hela.
 
Kisima cha kiswahili kitarafa hiki, ama tuseme ni chemchem!

Kila siku mnazalisha vimsemo!

Hawara wa mwenzako unamuita "utitiri"!

Komea kulitumia neno hilo kwenye comment hii, ukilirudia rudia litazagaa na utakuwa ni msemo kama ule wa dume zima kuitwa: "chawa", halafu jenyewe unakuta lipo mkukenua meno kwa furaha likihisi ni sifa!
Mimi sipendagi kabisa wadada wakubwa vile kudate na wadogo zao, hivi mtu kama wema alikosa hata kuchukuwa hata waziri mmoja akakomaa nae? Status yote alokuwa nayo? Siwezi date utitili mimi.
 
Ila huu mkeka wa huyu jamaa umenifanya nijisikie hopeless sana.., mtafanya watu tuanze kuuza madawa ya kulevya jamani, hii mikeka yenu msiwe mnaiweka hadharani bhana, mi najionaga nina pesa, kumbe hamna kitu kabisa aisee ,daaah, mnatupa msongo wa mawazo
kweli aise
 
We unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆
Biashara unazojua ni zile za motivation speakers wanazokupigia hesabu zako. Nakuuliza biashara ya showroom za magari unaijua au unaiskia? Hiyo biashara ni ya mishen town zaidi tu utapata hela ya kufanyia fujo mjini ila sio utajiri, madogo kariakoo na maduka yao ya vifaa vya magari wanakalisha washkaji kibao wenye showroom kubwa. Kama maana ya utajiri hujui google.
For your information huyo wa malori account kubwa ilikua kwetu sababu ya masharti ya bank facilities tulizokua tunampa na hiyo ni kawaida kabisa kwa bank na mfanyabiashara. Nahisi hakuna utakachoelewa hapa
Achana na huyo jamaa,mimi sina ufahamu wowote wa biashara yoyote ile,lakini kwa kutumia tu akili ya kawaida huwa nikipita show rooms zote ninazozifahamu ni wazi kwamba ile sio biashara rahisi

Gari zinakaa muda mrefu mno,tena kwenye show room za nje gari mpaka rangi inapauka,alafu huyu dogo analeta assumptions zake uuze gari zote😂
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
"Nikaambiwa nimuone meneja ,Nikapatwa na uoga"

Uoga WA nini kama ni Mlipa Kodi halali??
 
Naona statement hujaisoma vizuri... umeona transaction ya 70K kwenda Mpesa, unataka kusema ametuma Usd 70,000 kwenda Mpesa Kenya?
Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...

Hii account ni either ya TZS au KES.

Kuna sehemu ametuma 20K kwa MPESA Kenya.

MPESA Kenya limit ya Transactions kwa siku ni KES 300K sawa TZS 7M.

Kama 20K USD means alituma 2.4M KES hii ni zaidi mara 6 ya daily limit.

Kingine Bank Statement haiwezi kuweka kwenye multiple currencies.

Makonda na TRA wanahusiana nini, na why ana expose Financial statement ya kampuni yake, ili apate huruma gani.

Je Hizo biashara zake alizotaja zinasimamiwa na hiyo entertainment company?
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Like Magufuli, like Suluhu! Mambo Yale Yale!
 
Back
Top Bottom