Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Noma sana!Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Weka ushahidi kama huna KAA KIMYAHashpuppi in making, ngoja abanwe kende atataja alipozikwapua hizo billion 57, bora angeenda kuziweka uswizi huko sio bongo hii lazima wambane, na mpaka wanamtia komeo inamaana wamemfuatilia vya kutosha kwa kipindi kirefu na mafaili yake wanayo bila yeye kujijua kua anafuatiliwa kimya kimya,
Wabongo akili viazi kweli unaiba na kutapeli alafu pesa unaenda kuziweka bank, chimba kisima futi 12 kwenda chini ndani zipack uko tia password ya maisha hakuna atakaejua wapi umeficha mabillion mpaka siku wezi wakuvamie, get rich or die trying Ila usifuche pesa za wizi na utapeli bank kila senti unayoiweka mamlaka inaziangalia kwa jicho la kuzichukua na kuzitaifisha kisha ikufungulie kesi ya kutakatisha fedha na uhujumu uchumi
Cc: Cyril Ramaphosa
Mufti unazingua unajua, ushahidi upi unataka mkuu?Weka ushahidi kama huna KAA KIMYA
Du hana nyama?[emoji1316]Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
Hahahaha mkuu. Unakumbuka kwenye uzi wa diamond aporwa na TRA ulivyokuwa unatuambia tukae kimya?Mufti unazingua unajua, ushahidi upi unataka mkuu?
Ndio hilo la Diamond km huna ushahidi wa CCTV footage kumuonyesha Bi Husna akizipakua Million 700 kaa kimya,Hahahaha mkuu. Unakumbuka kwenye uzi wa diamond aporwa na TRA ulivyokuwa unatuambia tukae kimya?
Cheka balaaNdio hilo la Diamond km huna ushahidi wa CCTV footage kumuonyesha Bi Husna akizipakua Million 700 kaa kimya,
Anataka kuitapeli mpaka Bank,KCB wamesema hiyo statement ni fake. Kuna shida sehemu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Na asilimia 70 ya misikit imejengwa kwa hela ya unga ngada.Tafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Ni ngumu sana nchi za kiafrika hususani Tanzania mtu kua na biashara na kumiliki B57 kwenye account, nasema ni ngumu na kama ni kweli basi hazijazuiwa kwa makosa, ana jambo mtambuka sanaAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Mods futeni huu uzi, wahusika wamekanaAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Hizo ni Dili lakin upatikanaji wa mzigo ni ishuLabda kama anadili na mambo kale mambo ya mercury,rupia,nk kwenye sekta hio.Unapita hio
Wasifute huu uzi, huyo PCK amefuta post zake zote za Instagram kuondoa ushahidi wa madai yakeMods futeni huu uzi, wahusika wamekana
Kashapotea instagramStatement ni ya kuforge, hata charges hazimake sense.
- Balance enquiry charge USD 30 (TZS 70,000 kuuliza salio)???
- Kuna MPESA withdrawal ya USD 70,000 (TZS 166,000,000)???
- Card Payment ya USD 100,000 (TZS 237,200,000)??? - Hakuna benki ya Tanzania yenye limit hizi hata kwa Credit cards za juu kabisa. Hata kwa nchi kama US ukiwa na AMEX Black Card huwezi kutumia hii amount bila prior authorization.
Tujifunze basics hata za kusoma statement. Hapo kama ni tapeli ataondoka na wengi maana wengi wanaamini kwamba ana pesa kutokana na miamala hiyo, halafu atafuata watu wamkopeshe wakiamini pesa zimezuiliwa kwa muda kisha atapotea.
KCB Bank wachunguze na watoe statement la sivyo watalia wengi
Muhusika yupi amekanusha?Mods futeni huu uzi, wahusika wamekana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ukiacha Mme wako uliyesota naye , Kwa Mwanamke walu walu na mdangaji thaman yake Kwenye macho ya wanaume maximum ni 45 yrs( na hapo ana vijisent vya kujipodoa) ..... , baada ya hapo Kama ana vijisent atakuwa anajibebisha Kwa wahuni wazee wa hit and run , miez sita mingi wanachora , Ku_ma huwa zinazeeka