Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa K ikiwasha, inajua kuchagua mshedede wa aina gan uingie? Hata wa kichaa utapokea tyuuh. Sembuse rapa feki wa chuga. Lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Clitical thinking
Alifoji vipi?Kwa nini alifoji Statement
Usikute hapo umeshindia karanga za 200 na maji ya kandoro 😃😃Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Umeandika ana biashara na maduka ya simu na Kuna mwengine anadai ni kuuza majini. Halafu unakuja na ni mtu wa kawaida. Yaani ni udaku tuu.Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Imuuzie mzungu thahabu feki weNilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.
Wewe unangoja nini kuamua au unataka huo masikini ulionao?Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Wewe uliwajuaje?sema wazanzibari ni wafanya biashara wengi wao hawana ushamba na hela unaweza muona mpemba kavaa kanda2 lakini anamlilia kosita 20 na ghorofa 5 tandikaJamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Watu wa Pwani kawaida hawanaga ushambaWewe uliwajuaje?sema wazanzibari ni wafanya biashara wengi wao hawana ushamba na hela unaweza muona mpemba kavaa kanda2 lakini anamlilia kosita 20 na ghorofa 5 tandika
Hivi nyama (shehe wangu Kipoozeo anaziitaga neema za Allah) zilienda wapi kwani?Ni kujishushia heshima, na vile siku hizi hana nyama basi kila utitili utakwenda kupumzika kwake.
HatulinganiWewe unangoja nini kuamua au unataka huo masikini ulionao?