Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Kilio chake kilisikika na kapata msaada
Screenshot_20230110-132918.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Umeandika ana biashara na maduka ya simu na Kuna mwengine anadai ni kuuza majini. Halafu unakuja na ni mtu wa kawaida. Yaani ni udaku tuu.
Na je hiyo tarakimu ya benki kweli ni Bil. Au mil.?
Acha Uchawa kufuatilia ya watu.
MO ambazo ngapi? Je Bakheresa?!?
 
Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Wewe unangoja nini kuamua au unataka huo masikini ulionao?
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Wewe uliwajuaje?sema wazanzibari ni wafanya biashara wengi wao hawana ushamba na hela unaweza muona mpemba kavaa kanda2 lakini anamlilia kosita 20 na ghorofa 5 tandika
 
Kwanini mtu akiwa na hela nyingi watu hawamuhisi kuwa ni msomi,daktari ,muhandisi au ana Phd!! Moja kwa moja utasikia ni tapeli ,muuza madawa ya kulevya, halipi kodi, jambazi n.k?
 
Back
Top Bottom