Huyu Polisi wa zamani Marehemu Mkama Sharp alikuwa na Kipaji gani ambacho Polisi wengi wa sasa hawana?

Kuna siku 90s nimepishana nae sokota temeke pale ana kigroup cha masela kibao kawakusanya vijiweni huko anaenda nao kibla
 
No hiyo 90s kweusi huko

Basi kwa jinsi ulivyoiandika umeikosea kidogo kwani umendika sentensi ambayo kwa haraka haraka Mtu anaweza Kudhani kuwa Mkama Sharp yupo hai. Irekebishe kama hutojali Kiongozi.
 
Si ndio hapo yaani kabinti ni kama kamempiga bao msure wake.
Any way labda Ni mapenzi ya kupitiliza kwa watoto. Au mama yake binti ndio tatizo.
Changamoto Sana sifa zote za mdingi zinaweza kuharibiwa na mtoto
Sahihi, naungana na wewe huenda mama kwa namna moja au nyingine amechangia binti kuwa kama alivyo.
 
Hapa nipo ule usemi Wa WANAUME WA DAR unapopata nguvu za kisheria.

Huko mikoani kuna maaskari waliofanya mambo makubwa na ya kutisha kama vile Movie.

Majambazi , Majangili na wahalifu mbalimbali wamekamatwa ,kuhojiwa na kufikishwa Mahakamani na kupata haki zao.

Jambo la Msingi ni kuwaenzi wale wote waliofanya utendaji bora. Na ukifanyika utafiti nani kafanya nn na wapi?

Rip Mkama sharp anaweza potezwa vibaya.


Ila aenziwe katika viunga vyake.
 
76 mndava sana

Siku yupo patrol kitaa chote wahun wanasambaa hata wik nzima hawatokei

Ujambaz ukitokea akipelekwa front kesho yake utasikia majambaz 5 wameuwawa na polisi kwenye mapigano!!!

Ila Tunda watu wanakunja na mzee hana la kusema...
Acha tu, dingi na undava wote lakini kashindwa kudhibiti kale kabinti.
 
Ocd kiteto shida yake shule ndogo angeshakua rpc kitambo
Huyu mangi ni proffesional killer

Ndio kazi yake..alikua kituo cha sitakshari nadhan mnajua shughul za hicho kituo

Sijui kwa sasa yupo chimbo gani!!

Kaskazin nadhan aliweka rekod kwa kutoa roho za wahalifu
 
afande alikuwa mtu hatari anakimbiza mhalifu mpaka anakunya? kweli watu wema hawadumu
 
76 mndava sana

Siku yupo patrol kitaa chote wahun wanasambaa hata wik nzima hawatokei

Ujambaz ukitokea akipelekwa front kesho yake utasikia majambaz 5 wameuwawa na polisi kwenye mapigano!!!

Ila Tunda watu wanakunja na mzee hana la kusema...
sie wababa kwa watoto wa kike huwa hatuchomoi mara nyingi,chunguza familia nyingi.

mama na watoto wa kiume
baba na watoto wa kike.
 
NASHAURI NECT MSISUBIRI MTU AFE
MPONGEZENI AKIWA HAI MAUTI IKIMFIKA ASIKII HAYA MNAYOMPONGEZA WAKATI ANASTAHILI HILII

ROJAROJA
 
Mtaa wa posta pia lazima wamkumbuke mkuu. Alikuwa anatusaidia foleni ya uda mtaa wa posta enzi hizo.
 
JAMANI HATA AMAWONGELEI MICHANGO SIFA ZA MANENOO AZINA MAANA SANA ALIEKOO MSIBANI EMBU TUPE TAARIFA PLS NA NAMBA ZA SIMU TUNAFANYAJEEE....
ROGER ROGER
 
Weweeeee hao waliokuleta Duniani walitokea hukuhuku mikoani na halafu huku mna kutamani sana sema kutafuta hela ndio inawafanya mjazane huko mnapopaita town wakati hata kutafuna miwa hamuwezi mnataka juice

Kiongozi mbona unakuwa na Hasira hivi na Mimi wa Mjini? Hata Mimi sikuomba nizaliwe na nikulie hivi Mjini na nashukuru sijawa na Maisha ya huko Vijijini. Wewe ulivyo Pimbi hapo ulipo sasa unashinda zako Majarubani huko na Mashambani unalima hadi Vigimbi vimekushupaa ili uitafute tu Nauli ya kukuwezesha kuja Makonda City ( Dar es Salaam ) nawe angalau uweze Kuosha Macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…