Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Nimeona sehemu nyingi ukimjibu mtu basi juu kwenye msg yake anaandikwa mfano
Komeo la chuma Said. Nikawa najiuliza kwa nini JF mliona jina la Said ndo liwe Surname ya members wote?
Kwa nini basi isiwe
Komeo la Chuma Ali au Ngendembwe John. Ila mmeamua iwe
1. Komeo la Chuma Said
2. Kizuio Said
3. Kizibo Said
Pale unapo reply uzi wa mtu. Je hii haiwezi leta shida hapo baadaye kwa watu wote kuadhan pengine mwenye jina la Said kapendelewa?
Hepi Nyu Yia.
Komeo la chuma Said. Nikawa najiuliza kwa nini JF mliona jina la Said ndo liwe Surname ya members wote?
Kwa nini basi isiwe
Komeo la Chuma Ali au Ngendembwe John. Ila mmeamua iwe
1. Komeo la Chuma Said
2. Kizuio Said
3. Kizibo Said
Pale unapo reply uzi wa mtu. Je hii haiwezi leta shida hapo baadaye kwa watu wote kuadhan pengine mwenye jina la Said kapendelewa?
Hepi Nyu Yia.