Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond

Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond

huyo mtu anaitwa 'saba' kwa kiingeleza, huyu dada haziivi na daimondi, kampromote sana kiba, anakampuni yake inaitwa "rock star" kabla ya kufungua kampuni yake alikuwa sony music africa, ashapiga mzigo trace, mtv, kwa sasa ndio anasimamia mzigo wa bi dada jay dee "ndi ndi ndi" hataree
 
Kipindi gani?..Wakati Nice bado yuko juu?
Ingekua wakati Mr.Nice yupo juu nisingesema mbuzi wa maskini hazai! Yaani alitaka kufanya nae kazi wakati Mr. Nice keshapotea... ckumbuki vizuri but I think ilikuwa mwaka 2012 au 2013. Kinyume chake, Mr. Nice akapanda na nyembe kwenye mgongo wa Sallam!
 
Jamaa muwazi sana na ana busara pia maanake hiyo issue ya Kiba alivyoielezea...

Naimani wigo wa kazi zake utakua zaidi kila uchwao,sasa basi aachane na hiyo mikataba aliyoiita ya kiimani.
Hata watu wengi hawakujua kuwa balozi wa tembo aliomba msamaha....!
 
Labda Leo watu wakiambiwa juu ya Mtanzania ambaye Ni mdau mkubwa WA muziki aliyekuwa akimkwamisha Diamond ili asipate airtime Channel O kama salama anavyosema, hawataamini, Kila siku huwa nasema mdau huyo kakatisha ndoto za wasanii wengi!
Kwa jinsi jamaa alivyotoa maelezo nnahisi huyo mdau kama Seven vile
 
Huyo ndio Jorge Mendez wa Bongo fleva.Tungekuwa na watu 10 kama Sallam bongo fleva ingetesa sana kimataifa
Pia watu kama aina ya jamaa kwenye tasnia mbalmbal tungeweza kufika mbali sana
 
Kudos kwa mwandishi wa habari pia kwa kuuliza maswali yaliyoleta majibu yanayokidhi matarajio ya wasomaji.
 
huyo mtu anaitwa 'saba' kwa kiingeleza, huyu dada haziivi na daimondi, kampromote sana kiba, anakampuni yake inaitwa "rock star" kabla ya kufungua kampuni yake alikuwa sony music africa, ashapiga mzigo trace, mtv, kwa sasa ndio anasimamia mzigo wa bi dada jay dee "ndi ndi ndi" hataree
daaaaahh pcha tafadhar kwa aliyenayo au utamburisho wake zaid, mana nnashauku naye sana.
 
Ndio maana Anafanikiwa sana yaani yupo social anajibu bila kusita gooooooooooood ingekuwa wenzangu na mm wale mikogo mingiiiiiiiiiiiii
 
Dah wewe jamaa unamjua vizuri Sallam.. Unanikumbusha enzi za TIOT na Moro United Chelsea ya Bongo... Mendes ni kichwa kwenye connection.
Jamaa nazifahamu sana harakati na ubora wake! Kipindi kile alipokuwa connected na Mr. Nice nikajua Mr. Nice lazima arejee kwenye soko la muziki kwa kasi sana kumbe Duh, Nice kapanda na nyembe mgongoni kwa Sallam!
 
Kila sehemu aliyoingia DIAMOND alikutana na figisu,lakini alipambana na leo hii anakula matunda,lakini wale waliokuta mtelemko ndio ambao wenyewe wanaendelea kulalamika japo ndio walikuta kila kitu kipo kwa ajili yao ila hawezi kuvitumia.
ii post nimeipenda....inanigusa katika mchakato wa maisha yangu!!
 
Huyu ndo mfano wa meneja sasa...Nilikuwaga najiuliza Tale na Fella hata umombo walikuwa hawajui...Hizo connections za kimataifa walikuwa wanafanyaje..Kumbe Sallam ndo kichwa chao

Kwakweli hata mimi. Baadae nilijikuta naishia na hitimisho kwa kuukubali ule msemo maalufu "kuzaliwa bongo form six".
Babu Tale na Fella? Haikuwahi kuniingia akilini kabisa!
 
Mkuu kila kitu kinaumuhimu wake..

Deals za ubalozi TZ huwa anasimamia Babu Tale, unajuwa zinaingiza pesa kiasi gani kwa Diamond?

Collable ya Neyo na Diamond Babutale ndio alifanya maongezi kilakitu mpaka kufikia maelewano licha ya Diamond kukubalika na Neyo kabla ya hapo..

Afu ukija kwa Fela huyu jamaa analijua game vizuri sana. Watu huwa wanazungumzia "FITNA" kijuujuu lakini ni kitu muhimu sana kwenye management ikiwemo timing ya utoaji nyimbo, nyimbo ipi, kutafuta wadau wa kufadhili promotions (kama Dr. Mwaka alivyotoa milioni 50 tangazo lake likae kwenye video ya utanipenda), shows za ndani bongo na hta nchi karibu, kuwa karibu na watu wa media n.k...

Kila mmoja anaumuhimu wake..!!!

Sawa lakini Hao hawana ubavu wa kupasukua ukututa Mpaka wawekewe Ufa kwanza
 
a6e74f358092864b22691ec890c252bc.jpg

Huyo Dada aliye na jide hapo ndo salaam anamzungumzia anaitwa Seven Mosha ni meneja wa Jide na Kiba.
 
Back
Top Bottom