Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond

Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond

Ukimbania kijana unaumiza watu wengi sana nyuma yake, wazazi, kizazi chake kijacho, wadogo zake na hata taifa! Leo hii diamond kwenye chain yake wengi wametoka hata bwana wa antiezekiel anategemea kwa mond! Umaskini wetu unatokana na tabia zetu za ajabu ajabu
Roho tu ya kwann na kimaskini, halafu mtu kama huyo unaweza akakuta anajifanya mkristo au muislam safi
 
Robert makasi aka Puzzo sijui yuko wapi huyu jamaa
Jamani mpaka natetemeka nikikumbuka awa watu. Puzzo naskia bado yupo Scandinavia nafikiri ata ziara ya Dai huko kahusika connection. Sallam pia alishawai kuishi huko kidogo akifanya biashara baada ya TOT kufa.
 
Nimerudia kisoma Mara mbili mbili jamaa hana uswahili, ukimzingua anakufuata anakuchana maisha yanaendelea .
 
Labda Leo watu wakiambiwa juu ya Mtanzania ambaye Ni mdau mkubwa WA muziki aliyekuwa akimkwamisha Diamond ili asipate airtime Channel O kama salama anavyosema, hawataamini, Kila siku huwa nasema mdau huyo kakatisha ndoto za wasanii wengi!
Tupe info kidogo za huyo mdau
 
Back
Top Bottom