sabari
Senior Member
- Jul 23, 2015
- 153
- 53
m
mbona seven sio hata mdau mkubwa wa mziki tanzaniahuyo mtu anaitwa 'saba' kwa kiingeleza, huyu dada haziivi na daimondi, kampromote sana kiba, anakampuni yake inaitwa "rock star" kabla ya kufungua kampuni yake alikuwa sony music africa, ashapiga mzigo trace, mtv, kwa sasa ndio anasimamia mzigo wa bi dada jay dee "ndi ndi ndi" hataree