Huyu shoga angu kanichefua sana

Kutokujiamini ni tatizo.
Uongo wa nn just say yes toa mzigo no funga contract
 

Mbona ni usiku sana..!
 
jamani eeh njaa zipo, shida zipo ila sio zitufanye watumwa kiivo.....
hapo kwenye bold jibu hilo hapo, na ndo dhumuni kubwa la kushare hapa
 
Yeye kashindwa kumkatalia boss waziwazi, nawe umeshindwa kumpa ukweli huu wazi wazi! Hii inaitwa SHOW ME YOUR FRIEND AND I WILL TELL YOU WHO YOU ARE!

Tuma salamu kwa watu watatu....
siku nyingine usirudie kuassume bora uulize
 
Huyo shots wako anafirwa, kwahiyo anaogopa kumpatia doctor hiyo huduma anazan doctor c mtumiaje hapo anahitaji chet ili a block matumiz ya mbele doctor apige mzigo nyuma . hiyo ni kazi take anaogopa dk akijua atasepa

Umeelewa kilichoandikwa shemeji au upo usingizini bado?
 
Tuma salamu kwa watu watatu....
siku nyingine usirudie kuassume bora uulize
Mkuu hukusema anywhere kwenye uzi wako kama ulimpa makavu live, so we deserve to assume you opted the approach that she opted!....kiroho safi lakini.
 
Mkuu hukusema anywhere kwenye uzi wako kama ulimpa makavu live, so we deserve to assume you opted the approach that she opted!....kiroho safi lakini.

Hayo maswali nilosema nikamuiliza akayajibu hujaona?
 
Kutokujiamini nako shida, Boss ndo kitu gani looh uyo dada nae njaa 2 sitak nataka siawe na msimamo kwa sitaki au mzigo walika

Njaa mbaya kwakweli, plus kutokujiamini ni shida.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…