Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #41
Hahahahaha! Maisha ya kibongo fulu manyanyaso.
Kujiendekeza tu, ukiamua kunyanyaswa utanyanyaswa kweli.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha! Maisha ya kibongo fulu manyanyaso.
Mmmmh....duuuuu hiiii kali.Kwanza huyo kesha gegedwa mpaka kasingizia anaumwa kazazi.Muunganishe na doctor ila nae aombe rigwaride
Kama yupo humu potelea mbali acha anisute tu kwani sh ngapi.....!!?
Nimekaa zangu mara meseji ya shoga angu ikaingia "mambo, naomba uongee na doctor anitengenezee cheti kuwa nnaumwa kizazi" sikutaka kuhoji hata sababu nkahisi anataka kupiga hela za ofisi nikajibu "namba si unayo mwambie"
akapiga kimya kwanza, baadae akaona afunguke tu na ndo aliponikera mie .......
"nahitaji cheti nimuoneshe boss wangu sababu ananitongoza, sasa nimemwambia naumwa kizazi"
fck nkajiwazia tu huyu shost angu ni taahira au? Huu si uboya nilichouliza "huyo boss ana kipi hasa cha kukutetemesha hivo hadi watu wakimbizane na mihuri kisa we umetongozwa"? Oooh nimemwambia naumwa kizazi....ndo nataka nimuoneshe cheti mxyuuuuuuuuuuu......
means ukipona utampa? Unamtaka ila unaona noma kumpa? Kama kizazi kinauma akiomba huko toilet je?
au ndo kudorishia tu kuwa katongozwa na boss, mbona ma boss ambao hawatongozi wafanyakazi wanahesabika
kisa boss ndo asiambiwe sitaki? Au ndo msemo wa lara 1 kuwa unamkataa mtu kiutu uzima!
kama utu uzima ndo huu acha anione mtoto zile za "unikome babu na sura lako baya" zitaapply tu huu ni ufa.lah
Mi siwezi mwambia doctor huu ujinga, nikajiaibisha kijinga jinga hivi
nikashangaa doctor ananambia nimeambiwa una ujumbe wangu, nikamjibu sina ujumbe mwambie akuambie mwenyewe
akaaa cha kujitia aibu!!!
jamani eeh njaa zipo, shida zipo ila sio zitufanye watumwa kiivo.....
ningemjua huyo boss wake ningemsisitiza azidi kumuomba na amle tu
Eve lakini huyo bi dada si shogast ungemtemea tu ili siku nyingine aache kuwaza kama kuku...........
msaidie kurefusha akili..kwa kuponda huku haisaidii..
ila watu wengine bana yani we boss akuweke roho juu,na ukute boss mwenyewe si wa A wala Z ....
hapo kwenye bold jibu hilo hapo, na ndo dhumuni kubwa la kushare hapajamani eeh njaa zipo, shida zipo ila sio zitufanye watumwa kiivo.....
mwambie amwambie Boss anaukimwi
Yeye kashindwa kumkatalia boss waziwazi, nawe umeshindwa kumpa ukweli huu wazi wazi! Hii inaitwa SHOW ME YOUR FRIEND AND I WILL TELL YOU WHO YOU ARE!
Agegedwe tu, mi nilidhani kutongoza ndo kuna udomo zege kumbe hata kukataa pia....Kweli mtoa mada umekerwa hadi unataka shoga ako agegedwe teeh trh teeeh
Huyo shots wako anafirwa, kwahiyo anaogopa kumpatia doctor hiyo huduma anazan doctor c mtumiaje hapo anahitaji chet ili a block matumiz ya mbele doctor apige mzigo nyuma . hiyo ni kazi take anaogopa dk akijua atasepa
Mkuu hukusema anywhere kwenye uzi wako kama ulimpa makavu live, so we deserve to assume you opted the approach that she opted!....kiroho safi lakini.Tuma salamu kwa watu watatu....
siku nyingine usirudie kuassume bora uulize
Niseme tu sio mimi...hii ni id tu
Mkuu hukusema anywhere kwenye uzi wako kama ulimpa makavu live, so we deserve to assume you opted the approach that she opted!....kiroho safi lakini.
hapa itabidi na mimi
Nilog off
Kutokujiamini nako shida, Boss ndo kitu gani looh uyo dada nae njaa 2 sitak nataka siawe na msimamo kwa sitaki au mzigo walika
Agegedwe tu, mi nilidhani kutongoza ndo kuna udomo zege kumbe hata kukataa pia....
Ataliwa tu huyo , hata akipeleka cheti.
Hajui matumizi ya ndiyo au hapana anasingizia vyeti,,, ataliwa tuu..
Maajabu yataisha hapa duniani....