Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #81
Ni zaidi ya kuringishia, nahisi kuna kastory kaficha....Huyo naye boya kweli kukataa tongozo mpaka ahangaishe watu wote hao. Alitaka kukujuza kuwa boss ake kamtokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya kuringishia, nahisi kuna kastory kaficha....Huyo naye boya kweli kukataa tongozo mpaka ahangaishe watu wote hao. Alitaka kukujuza kuwa boss ake kamtokea
Akiliwa atanambia, boss aliniita hotelini nikaenda nikala alivonambia twende chumbani nikakataa....
wapiii fix tu boss kasuuza rungu
Ha ha ha ha.....
Yote ya nini hayo kwanini asiseme tu sitaki?
nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?Kama yupo humu potelea mbali acha anisute tu kwani sh ngapi.....!!?
Nimekaa zangu mara meseji ya shoga angu ikaingia "mambo, naomba uongee na doctor anitengenezee cheti kuwa nnaumwa kizazi"
ufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo?sikutaka kuhoji hata sababu nkahisi anataka kupiga hela za ofisi
chukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have...nikajibu "namba si unayo mwambie"
akapiga kimya kwanza, baadae akaona afunguke tu na ndo aliponikera mie .......
Shoga yako jinga kweli si akatae au akubali tu kwani nini?
Hujambo mpenzi?
Madai yake anakataa kiutu uzima. ...ila kiukweli kakosea fomula. ...
Shoga yako jinga kweli si akatae au akubali tu kwani nini?
mwenzio anataka hela jamaniNadhani anataka nimuone mtakatifu kwasababu ana jamaa yake na story za ndoa zipo zipo
sasa ananiletea vistory vya sungura na fisi mie
nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?
ufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo?
chukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have...
hiyo ni nyeti sana kiasi kwamba ushangae yeye kunambia?nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?
usinambie hujawahi kula hela za ofisi kwa documents za uongoufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo
aseee sina alternative yoyote kwa huo ufa.lahchukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have
Anataka kumpa 0713 Boss hapo ni kuzuga tu boss asishituke kama ni kamchezo kakeYote ya nini hayo kwanini asiseme tu sitaki?
Ndo maana na ndoa zinatushinda sababu ya kuwa mguu nje mguu ndanimwenzio anataka hela jamani
hvyo vindoa ndoa ndo anataka umuone mtakatifu mwenzio na asiharibu
sishangai yy kukwambia...bali njia aliyotumia..meseji...hiyo ni nyeti sana kiasi kwamba ushangae yeye kunambia?
it was out of curiosity.....usinambie hujawahi kula hela za ofisi kwa documents za uongo
jpili njemaaseee sina alternative yoyote kwa huo ufa.lah
anataka kuliwa tu huyo, hilo halihitaji kufundishwa.....
Nadhani anataka nimuone mtakatifu kwasababu ana jamaa yake na story za ndoa zipo zipo
sasa ananiletea vistory vya sungura na fisi mie