Huyu shoga angu kanichefua sana

Huyu shoga angu kanichefua sana

Kama yupo humu potelea mbali acha anisute tu kwani sh ngapi.....!!?
Nimekaa zangu mara meseji ya shoga angu ikaingia "mambo, naomba uongee na doctor anitengenezee cheti kuwa nnaumwa kizazi"
nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?

sikutaka kuhoji hata sababu nkahisi anataka kupiga hela za ofisi
ufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo?

nikajibu "namba si unayo mwambie"
akapiga kimya kwanza, baadae akaona afunguke tu na ndo aliponikera mie .......
chukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have...
 
Nadhani anataka nimuone mtakatifu kwasababu ana jamaa yake na story za ndoa zipo zipo
sasa ananiletea vistory vya sungura na fisi mie
mwenzio anataka hela jamani
hvyo vindoa ndoa ndo anataka umuone mtakatifu mwenzio na asiharibu
 
Mmmh,
Bosi akiweza kumpatia pesa ya matibabu si ndo atakuwa amenunua mgodi!
 
nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?


ufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo?


chukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have...

nachelea kuhoji bond ya urafiki wenu...kwa nini akutumie sms kwa ishu nyeti kama hiyo?
hiyo ni nyeti sana kiasi kwamba ushangae yeye kunambia?

ufafanuzi kwenye blue....kwa nini ulihisi hivyo
usinambie hujawahi kula hela za ofisi kwa documents za uongo

chukulia kama uwezo wake wa kufikiria kwa busara ni mdogo...tumia hekima yako kumpa best alternative you have
aseee sina alternative yoyote kwa huo ufa.lah
anataka kuliwa tu huyo, hilo halihitaji kufundishwa.....
 
mwenzio anataka hela jamani
hvyo vindoa ndoa ndo anataka umuone mtakatifu mwenzio na asiharibu
Ndo maana na ndoa zinatushinda sababu ya kuwa mguu nje mguu ndani
bata tunazitaka ndoa tunazitaka
tunasumbua watu wanapoteza pesa na muda siku mbili tu
Bi harusi anaranda randa mtaani kama paka wa bar
 
Hana lolote hashuo tuu angemtaka wala asinge kwambia,asikushughulishe kwani kama Boss ndio nini as long as unafanya kazi zako huna sababu yakujipa BP, kumvulia mtu nguo kutaka kama hutaki atamaliza nyimbo zote..........
 
Ivi kumbe kadanganya eeh? Ngoja nikaze uzi nijilie mie
 
Nadhani anataka nimuone mtakatifu kwasababu ana jamaa yake na story za ndoa zipo zipo
sasa ananiletea vistory vya sungura na fisi mie

Sasa mwambie achague kuwa mkweli au kuongea uongo mmoja ukazaaaa mauongo laki tano
 
Back
Top Bottom