Huyu shoga angu kanichefua sana

Huyo shostito kisha mkubali boss na boss kakubali kugharamia matibabu. Sasa boss anataka proof kutoka kwa Dr ili aanze rasmi kutoa hela

we umeongea point hapa anataka pesa aksafishwe kizazi hana lolote
 
Wanawake wengine bwana...! Unaomba Mungu usikutane na mizigo mizito kama hiyo..bora kubebeshwa gunia la misumari..
 
Evelyn... mi ni doctor. Nipe namba ya huyo shosti. Yatakayoendelea usitake kujua. Ila boss atakoma...
 
 
Wanawake wengine bwana...! Unaomba Mungu usikutane na mizigo mizito kama hiyo..bora kubebeshwa gunia la misumari..

Kuna mazingiara kweli ni mzigo ila si kuna unafuu kwa watongozaji
huoni kama anarahisisha zoezi la tongozo?
 
Huyo naye boya kweli kukataa tongozo mpaka ahangaishe watu wote hao. Alitaka kukujuza kuwa boss ake kamtokea
 
Kutokujiamini ni tatizo.
Uongo wa nn just say yes toa mzigo no funga contract
Akiliwa atanambia, boss aliniita hotelini nikaenda nikala alivonambia twende chumbani nikakataa....
wapiii fix tu boss kasuuza rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…