Huyu shoga angu kanichefua sana


Viatu si saizi moja kwa watu wote mamkwe! Msaidie anunue saizi yake sio yako!
 
Evelyn Salt huyo rafiki yako muongo,, issue tunayogombania ni kuwa mimi nimestuka kuwa anaujauzito wangu na yeye anataka kuutoa sasa yeye anasemaga eti yeye anatatizo la kizazi wakati mimi sikuonaga shida wakati na......... eti wajama si kutapeliwa huku.. na mifweza yang na mi nusu kuku alikula.. mimi nilijua tu kama hii ni sanaa ona sasa mpaka na ww umejua siri yetu... dawa yake ni kumfukuza kazi tu baaaaas ndo ajuage sisi vibosile noma
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmhhh....
 
Huyo shostito kisha mkubali boss na boss kakubali kugharamia matibabu. Sasa boss anataka proof kutoka kwa Dr ili aanze rasmi kutoa hela

Umesema kweli mamito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…