Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja.

Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu huyu Jamaa. Anyway huenda ni coincidence Kila tukio ahojiwe yeye....

20220118_171717.jpg


20220118_171713.jpg
 
Hawa jamaa kila wakati wakifanya ujinga wao huwa wanaumbuka, na kwa jinsi wanavyohangaika hivyo inaonesha wazi pressure imeanza kuwapanda wananchi wameshajua ukweli hayo masoko huunguzwa kwa makusudi usiku.

Naona hata soko la Kariakoo lilichomwa na wajanja kwa makusudi ili wafanye mambo yao, ndio maana majibu ya tume iliyoundwa hawayatoi kwa wananchi, hili la Karume ndio Mungu kawaumbua.

Hii inaonesha hili taifa letu kwa sasa kuna wahuni wana nguvu sana, wanaweza kujiamulia kufanya lolote baya kwa wananchi na wasifanywe chochote na vyombo vya dola, wameviweka mfukoni.
 
Back
Top Bottom