JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Huyu jamaa anatumika vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa anatumika vibaya.
Atahojiwa na nani ikiwa wakumhoji ndio director wa movie yote.Ahojiwe Kwa kina...
Kuna nyakati kukanusha ama kuzima uvumi ni hatari kuliko kuacha maisha ya uvumi yaendelee.Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja.
Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu huyu Jamaa. Anyway huenda ni coincidence Kila tukio ahojiwe yeye....
View attachment 2086737
View attachment 2086741
Hivi sababu ya kufanya yote haya ni Nini?Kuna nyakati kukanusha ama kuzima uvumi ni hatari kuliko kuacha maisha ya uvumi yaendelee.
Ona sasa, anahitajika mwingine ajitokeze kufuta coincidence hii
😂😂😂Mkuu umenikumbusha mbali marehemu baba yangu (Allah amsamehe dhambi) ilikuwa kauli yake pendwa pindi akichukiaMtizame macho yake.
Sema yeye anavaa nguo nyekunduMbona kwa mbali kama anafanana na mwendazake. Au ni mzimu wake?
Hawa ni watu maalum wanaotumika kuchoma masokoKuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja...
Kuwepo na kuwa chinga kariakoo huku akiwa mlinzi Karume ni vitu tofauti.Kwahiyo kama alikuwepo kkoo hawezi tena kuwepo Karume? Mbona muda wa matukio ni tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kamba imekatika apo shida ipo atakula kila kituAnatumika na chama Cha kula urefu wa kamba yako
Umaarufu wa kitoto utamtokea puani.Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja.
Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu huyu Jamaa. Anyway huenda ni coincidence Kila tukio ahojiwe yeye....
View attachment 2086737
View attachment 2086741
Nae alikuwa mhuni tuSerikali iliyopo madarakani ni Serikali ya KIHUNI. Hii nchi ni bora magufuli alivyokua anaiongoza kwa mkono wa chuma kulinda maslahi ya wengi.
Hiyo inaitwa CHUKUA CHAKO MAPEMA.Bado kuna masoko mengi tu yataungua
Kwa wenzetu wangeanza na huyu dogo kama siyo wa mchongo.