Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

Yani hii nchi ina mijitu ya ovyo kabisa. Haina hata kiini macho. Mbona mapandikizi ni wengi tu, kama dhamira ilikuwa ni kupoteza watu maboya wangetumia pandikizi tofauti. Lakini kwa mentality yao mbovu wakaona Kariakoo aliongea vizuri basi hata Karume tumtumie huyo huyo.

Ila huyo mpuuzi akae ajitafakari, aangalie wale kina mama wanavyolia kwa kupoteza kitu pekee kinachowapa kula yao. Hizi shuhuda za uongo zitamletea laana mbeleni. Asidanganyike na vijisenti vya muda kwa laana ya kudumu.
 
Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja.

Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu huyu Jamaa. Anyway huenda ni coincidence Kila tukio ahojiwe yeye....

View attachment 2086737

View attachment 2086741
Kuna nyakati kukanusha ama kuzima uvumi ni hatari kuliko kuacha maisha ya uvumi yaendelee.

Ona sasa, anahitajika mwingine ajitokeze kufuta coincidence hii
 
Yaonesha ni kama hujuma fulani ili baadhi ya watu wanufaike je ni kina nai makampuni ya ujenzi, mainjinia wa jiji au? Wafanyabiashara wenyewe?
 
Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja...
Hawa ni watu maalum wanaotumika kuchoma masoko
 
Kwa nini huyu aliyevua nguo kipindi soko la kariakoo linaungua leo aje kutoa ushahidi wa mashaka kuwa mshumaa wa mateja umesababisha moto soko la Karume?

Hii ni big controversy na ni aibu kwa waliomtuma huyu kijana.
 
Anatumika na chama Cha kula urefu wa kamba yako
Kama kamba imekatika apo shida ipo atakula kila kitu
JamiiForums1892106678.jpg
 
Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja.

Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu huyu Jamaa. Anyway huenda ni coincidence Kila tukio ahojiwe yeye....

View attachment 2086737

View attachment 2086741
Umaarufu wa kitoto utamtokea puani.
 
Back
Top Bottom