Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Toka kwenye box nduguSiasa za kipuuzi kwenye Mambo yanayogusa maisha ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka kwenye box nduguSiasa za kipuuzi kwenye Mambo yanayogusa maisha ya watu
Hao wahuni ni kina nani na vyombo vya dola ni kina nani labda tuanzie hapo.Hawa jamaa kila wakati wakifanya ujinga wao huwa wanaumbuka, na kwa jinsi wanavyohangaika hivyo inaonesha wazi pressure imeanza kuwapanda wananchi wameshajua ukweli hayo masoko huunguzwa kwa makusudi usiku...
Alilinda maslahi ya kina nani?Serikali iliyopo madarakani ni Serikali ya KIHUNI. Hii nchi ni bora magufuli alivyokua anaiongoza kwa mkono wa chuma kulinda maslahi ya wengi.
Duniani ni wawiliwawiliMbona kwa mbali kama anafanana na mwendazake. Au ni mzimu wake?
Huyu kijana wa Uvcmm huenda ilikuwa ni coincidence namjua sana huyu kada mtiifu.Kwa nini huyu aliyevua nguo kipindi soko la kariakoo linaungua leo aje kutoa ushahidi wa mashaka kuwa mshumaa wa mateja umesababisha moto soko la Karume?
Hii ni big controversy na ni aibu kwa waliomtuma huyu kijana.
We bwege acha kuingilia kujadili mambo usiyoweza kuyaelewaAlilinda maslahi ya kina nani?
Akaisaidie kamati siyo kupiga kelele kwenye media
Kwahiyo kama alikuwepo kkoo hawezi tena kuwepo Karume? Mbona muda wa matukio ni tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waandishi wachache kwa bongo sana tena hawazidi hata 5%.Siku hizi wengine habari wanazichukua mtandaoni kama zilivyo.Hivi Tanzania hatuna waandishi wa habari za kiuchunguzi? Tokea moto wa Kariakoo mpaka na huu wa Karume wa juzi kati hapa hakuna taarifa zozote za kina kumhusu huyu jamaa?
Ila Clouds nao wananipa maswali magumu nikitazama ishu ya Sabaya na huyu jamaa siwaelewi kabisa.
Swali gani? Uliza maswali ya msingi. Kwa nini K'koo awe chinga na huku awe mlinzi?Inawezekana, lakini kwanini kote huko yeye awe ni figure ya mjadala?
Kwahiyo anatumika?Hiyo kamati ndio inamuagiza kwenda kuweka wananchi sawa ili ripoti yao iendane na huo upotoshaji wake.
Kwahiyo anatumika?
Basi sawaUnauliza hirizi Tanga mkuu?
[emoji38][emoji38][emoji38]Unauliza hirizi Tanga mkuu?
Mitumba inauzwa na mateja siku hiziChanzo wanasema mateja?
Je mjiulize mateja wanakuwepo hapo wanafanyaga mambo yao au?
Ova
Mateja mbona wapo kitambo sana wana kijiwe Chao nyuma ya mabanda ya mama lisheMitumba inauzwa na mateja siku hizi