Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Kuna muda wanawake hatuna akili masikini hadi huruma....Sasa wewe rafiki yake mshauri

Dada ndio upate picha harisi ya nini kinakuepo
Watu humu wanahisi sisi tuna roho mbaya
Kumbe ... tunaandika kitu kilichopo
Tunaandika yaliyopo
Sasa je kwa story hiyo ni nani atakae sema vizuri humu??
 
Sijakuelewa, sijui umeandika nini hapo
 
On
Anyway,nilitafakari na kusema bora nimejirizisha juu ya hili ila kwasababu nimjamzito nitakaa naye,alafu siku anaenda kujifungua ndio bye,bye mazima
Naona mwanamke wa design hii atakuja kunisababishia pressure na kisukari mapema.
ONE MAN DOWN AGAIN.

una uhakika hiyo mimba ni yako?😁😁
 
Unampeleka halafu kwa mbali unaona akikonyezana na Ex wake kidizaini
 
Dada ndio upate picha harisi ya nini kinakuepo
Watu humu wanahisi sisi tuna roho mbaya
Kumbe ... tunaandika kitu kilichopo
Tunaandika yaliyopo
Sasa je kwa story hiyo ni nani atakae sema vizuri humu??
Tayari ashakuwa single mother wa watoto wawili.

Infact Single mothers wanakuws hivyo kwa sababu wanapenda Pipe.
Hawaridhiki na Pipe moja hata uwape huduma gani.

Na bado atapigwa ana mwingine tena mimba ya tatu.
 
Mtihani sana
 
Umeongea la maana sana. Kwenye jamii zetu tangu zamani single moms wanaolewa vizuri tu tena wengi Lakini hawakuwa na kiherehere kama hawa wasasa

Sijui ndio Uzungu? Ujinga ujinga tu...unaendaje kwa Ex wako ambaye naye ameshaoa mwanamke mwingine?
 
kosa lake hapo ni nini sasa?jaman walishaonganisha undugu kupitia mtoto waliyezaa hivo hata kama wameachana kunapotokea msiba sio vibaya kwenda!au ulitaka wasijuane kabisaa
Kama alishaunganisha undugu basi akienda akamrudie Ex wake hukohuko hata kama alishaoa akawe mke wa pili

Hiki kiherehere kinawaponza sana wanawake
 
Ndio sababu ambayo kama watu wazima mnaweza zungumza na mkaelewana
Ungekuwa Mwanaume usingeandika hivi. Kwanza kabisa Mwanamke anapaswa amsikilize na amtii Mumewe, akisema ''Sitaki Uende'' unapaswa uelewe na ukae nyumbani or wherever

Ulishaachika kwenye hiyo familia, Mumeo amekubali kumfanya mtoto wako kuwa wake na anamlea...kumpeleka tena kule ni Kiherehere na inaonesha bado mna ukaribu na Ex wako au mnaenda kupasha kiporo

Hakuna Mwanaume mwenye akili atakuruhusu ufanye huo ujinga, labda Umroge kwanza.
 
Kelphin umetoa bonge la shule. Inatosha kabisa hii full package
 
kosa lake hapo ni nini sasa?jaman walishaonganisha undugu kupitia mtoto waliyezaa hivo hata kama wameachana kunapotokea msiba sio vibaya kwenda!au ulitaka wasijuane kabisaa
Sasa ndio wakajuane vizuri maana kimeshanuka. Mtu aliyekuzalisha akakubwaga kama mbwa bado unamfata fata una akili kweli?
 
Tujaribu 😅
Singo mama ukiwa unajielewa,unaingiza pesa mwenyewe,humsumbui mtu…mara nyanyaaa Sijui nyenyenyee,ohooo nyunnyunyuuuu basi hizi comments hazitakusmbua medulaoblangata
 
Singo mama ukiwa unajielewa,unaingiza pesa mwenyewe,humsumbui mtu…mara nyanyaaa Sijui nyenyenyee,ohooo nyunnyunyuuuu basi hizi comments hazitakusmbua medulaoblangata
Single mother wengi wanafeli kwa kutegemea mwanaume amlele mtoto wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…