Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...mimi ni mtu ambaye ilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa january...nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo..na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion...hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuw ni binti mwenye msimamao kwenye mahusiona.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi...ila wakati tukiwa mwaka watu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi...jamaa akapapanda akafanikiw kumuweka kwenye himaya yake...kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti...ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahaerisha harusi mara kwa mara ila kafaniliwa kuzaa naye mtoto...ila baadaye wakaingia kwenye misuguona wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine....na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto...anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu...anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiona akamata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe...nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba..nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake..anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyum....
Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambul8sho katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasabsbu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...

Mimi nu mtu ni kazi yangu na biashara zangu..sasa naona kwasbabu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.

Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
Hakuna state ambayo wanawake wananyanyasika kama asipokua na kitu cha kumuingizia fedha kidg...umesema amezaa na jamaa kwahiyo hapo mwanayr amefiwa na babu...kwahiyo asiende kisa? Si anaenda kwasababu amechangia damu huko?
Mie naenda sana na huna la kunifanya😏! Unataka maisha yasimame kisa umemtangazia unamuoa? Ase!
 
Hakuna state ambayo wanawake wananyanyasika kama asipokua na kitu cha kumuingizia fedha kidg...umesema amezaa na jamaa kwahiyo hapo mwanayr amefiwa na babu...kwahiyo asiende kisa? Si anaenda kwasababu amechangia damu huko?
Mie naenda sana na huna la kunifanya😏! Unataka maisha yasimame kisa umemtangazia unamuoa? Ase!
🤔🤔 Dah!! Hakuna kwenda acha mtoto aatakuwakilisha tu
 
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...mimi ni mtu ambaye ilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa january...nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo..na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion...hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuw ni binti mwenye msimamao kwenye mahusiona.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi...ila wakati tukiwa mwaka watu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi...jamaa akapapanda akafanikiw kumuweka kwenye himaya yake...kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti...ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahaerisha harusi mara kwa mara ila kafaniliwa kuzaa naye mtoto...ila baadaye wakaingia kwenye misuguona wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine....na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto...anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu...anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiona akamata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe...nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba..nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake..anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyum....
Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambul8sho katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasabsbu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...

Mimi nu mtu ni kazi yangu na biashara zangu..sasa naona kwasbabu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.

Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
Mnavyoambiwaga kuoa single mother ni mtihani ndio hivyo sio kwamba tunawachukia watoto la hasha ,Ila mahusiano huwa hayaishi kamwe. Huyo mtoto ndio kiunganishi chao hivyo kusema atamsahau mazima ,haiwezekani
 
Unamaanisha ametaka kwenda kumzika babu yake mwanae. Kuna mambo huwezi kubadili ukiamua kuoa mwanamke mwenye mtoto na mzazi mwingine. Haiwezekani asilani, wewe kama ni wale wasio na vifua vya kuhimili mikiki ya mahusiano huyo hakufai.
Naona hawezi kuhimili vitu vya kijamii kama hivi kwa hiyo asonge mbele
 
Tumechoka kuwashauri nyie wasenge, tumeshasema single maza anayepaswa kuolewa ni yule aliyefiwa tu na mumewe hao waliobaki ni wa kupiga miti na kusonga mbele.
Kama mwanaume mwenzio kamshindwa wewe ni nani umuweze?
Huko mjane mwingine kauwawa na boyfriend sasa inakuaje
 
Tumechoka kuwashauri nyie wasenge, tumeshasema single maza anayepaswa kuolewa ni yule aliyefiwa tu na mumewe hao waliobaki ni wa kupiga miti na kusonga mbele.
Kama mwanaume mwenzio kamshindwa wewe ni nani umuweze?
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom